Maajabu ya khanga!

Atamnunulia ya kuwapiga kijembe kitaa kizima
*Hayawani hayakuhusu
*Nimempata kwa shida shikeni zenu adabu
*Yakwenu yamewashinda mmekalia fitina
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimependa hiyo ya nimempata kwa shida.......[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Pole saaana ........... wajua kuzaliwa uswazi ni raha na taaabu!
Tushazoea hadi kupiga chabo
[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji2]
 
Nimekubali. Wengine vipande vya khanga ndo ilikuwa kama nepi enzi hizo
Mambo ya diapers yalikuwa gharama enzi zetu, ilikuwa ni mwendo wa kipande cha khanga + nepi na mpira wa kuzuia mambo yakiharibika
 
Mambo ya diapers yalikuwa gharama enzi zetu, ilikuwa ni mwendo wa kipande cha khanga + nepi na mpira wa kuzuia mambo yakiharibika
Mama ananunua chupi ya mkojo akiwa anataka kutoka siku hiyo.

Hii inakufaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…