Maajabu ya khanga!

Maajabu ya khanga!

Atamnunulia ya kuwapiga kijembe kitaa kizima
*Hayawani hayakuhusu
*Nimempata kwa shida shikeni zenu adabu
*Yakwenu yamewashinda mmekalia fitina
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimependa hiyo ya nimempata kwa shida.......[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
1459945026224.jpg
[emoji120] daima.
 
Pole saaana ........... wajua kuzaliwa uswazi ni raha na taaabu!
Tushazoea hadi kupiga chabo
[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji2]
 
Nimekubali. Wengine vipande vya khanga ndo ilikuwa kama nepi enzi hizo
Mambo ya diapers yalikuwa gharama enzi zetu, ilikuwa ni mwendo wa kipande cha khanga + nepi na mpira wa kuzuia mambo yakiharibika
 
Mambo ya diapers yalikuwa gharama enzi zetu, ilikuwa ni mwendo wa kipande cha khanga + nepi na mpira wa kuzuia mambo yakiharibika
Mama ananunua chupi ya mkojo akiwa anataka kutoka siku hiyo.

Hii inakufaa sana
uploadfromtaptalk1459950317792.jpg
 
Back
Top Bottom