DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Jun 26, 2022 #41 t blj said: Wewe pia hujui kuandika, "uwezi "inaaana gani? Click to expand... "Inaaana" ndo neno gani mkuu?
t blj said: Wewe pia hujui kuandika, "uwezi "inaaana gani? Click to expand... "Inaaana" ndo neno gani mkuu?
Moisemusajiografii JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 43,960 Reaction score 77,533 Jun 26, 2022 #42 data said: Siku moja nilitaka kukolapsi' waliponiambia huduma hii imesitishwa kwa sasa... πππππππππππππ Click to expand... Hakyanane!Yule mtu aliwatesa watumishi wa umma ile mbaya.Sidhani kama kuna mtumishi ambaye hazijui "micro-finance institutions" kwa ajili ya kukopa.Mungu awatie nguvu.
data said: Siku moja nilitaka kukolapsi' waliponiambia huduma hii imesitishwa kwa sasa... πππππππππππππ Click to expand... Hakyanane!Yule mtu aliwatesa watumishi wa umma ile mbaya.Sidhani kama kuna mtumishi ambaye hazijui "micro-finance institutions" kwa ajili ya kukopa.Mungu awatie nguvu.