Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Na sijui mtu anajuaje kwamba hicho 'anachokunywa' ni sperm
Huko nyuma kuna mtu kajifanya mjuaji nami nikamwambia atumie Google kufuta ujinga wake kwa kusoma kuhusu 'azoospermia'.
Azoospermia is a complete absence of sperm from the fluid ejaculated during orgasm (semen).
Sperm hazipo visible to the naked eye.
Mwanaume kutoa manii [semen] haimaanishi hayo manii yana mbegu ndani yake.
Na ndo maana hata kwenye masuala kama ya infertility kwa watu wanaotafuta watoto, katika hizi nchi zetu kuna dhana potofu kwamba mwanamme hawezi kuwa mgumba kwa sababu eti anatoa manii wakati wa tendo la ndoa.
Matokeo yake mwanamke ndo anaishiwa kulaumiwa kuwa yeye ndo mgumba hata kama mwenye tatizo ni mwanamme!!
Azoospermia....look that up😉.