menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
Mie kiukweli huwa nasikia watu jinsi wanavyo sifia kwenda chumvini na wengine alamba! Alamba! Amu! Yaani kulamba koni sasa juzi ndo nilizidi shangaa kuna dada mmoja ambae tumezoeana sana yaani tunaitana shem coz ni kabila moja basi ilikua asubuhi kama saa moja hivi mumewe alikua kashaenda job.Nikamwona anatoka ndani akiwa kashika stiki basi nikauliza kwa kumtania vipi umepata kifungua kinywa na kuku nini? Akanijibu wapi shemu hii ndo adha ya kulamba Mic a.k.a koni mustachi zimegandia kwenye meno inabidi nizitoe kwa stiki!! Hakyanani nilianza kushawishika but now on sitarajii kuja fanya hii kitu lol.