Maajabu ya ligi ya mabingwa ya Afrika

Maajabu ya ligi ya mabingwa ya Afrika

Iwe MAAJABU kufungwa Vita!!!
Amefungwa bingwa wa kihistoria wa CAF Champions league barani Afrika haikuwa maajabu itakuwa Vita????
 
Simba ataishangaza Africa siku ya jumamosi, ni suala la muda tu! Kama Al Ahly alikufa hapa Taifa, As Vita asife ana kitu gani hasa hah hah hah hah
Simba kushinda uwanja wa Taifa Sio maajabu Bali As Vita kushinda ndio maajabu kwani As Vita hajashinda hata mechi moja ya ugenini msimu huu na Simba hajafungwa hata mechi moja nyumbani...kwa mizani iyo maajabu As Vita kushinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom