Maajabu ya Mafuta ya Bunduki

PUNKY

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
576
Reaction score
251
Ndugu wana Jamii Forum, Leo katika pitapita zangu nimekutana na mdau mmoja akanielezea kidogo kuhusu maajabu ya mafuta ya bunduki kuwa ukiwa nayo huwezi kusogelewa na nyoka wala kudhuriwa na wachawi hata wawe na uwezo kiasi gani.

Karibuni kwa mawazo wenye kulitambua hili jambo.
 
Cna uhakika ndugu labda tufanye utafti, ila hapo kwa nyoka ni sawa ila kwa swala la uchawi mmh.!
 
kwa baadhi ya nyoka ni kweli yanafanya kazi ila uchawi mmmm bado aisee
 
Yana harufu kali sana nadhani ndio sabb kubwa, hata mafuta ya taa au petrol ukoyamwaga mahali nyoka hakai kwa hiyo sio uchawi wala sayansi ni harufu kalii tuu
 
Nipe tofauti ya hayo mafuta ya kusafisha bunduki na mafuta ya transforma!
 
Inasemekana ukiwanayo ni ngumu kwa adui yoyote kukusogelea
 
Inasemekana ukiwanayo ni ngumu kwa adui yoyote kukusogelea

hahaha adui yoyote hata jambazi????

alishab,...????

mkuu fafanua

na kwanza yanauzwa wapi nikanunue maana aiseee hakuna haja ya mbwa
 
Mmmhh. . . . Kwa hiyo ni bora kununua ndoo nzima ukamwaga kuzunguka nyumba kuliko uzio??!!!

Kuna baadhi ya nyumba unaweza kukuta wamening'iniza dalini kichupa cha hayo mafufa kwa ajili ya ulinzi wa kaya
 

Hahahahah uongo
 
Sorry sijaelewa, ni mafuta ya bunduki ipi? Hii kama ya kwangu au hii ya "PORISI"? hahahahahahaa just kidding
 
Nilisikia wala Tigo pia wanaitumia kwenye kuzibulia mashimo ya maji taka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…