Ndugu wana Jamii Forum, Leo katika pitapita zangu nimekutana na mdau mmoja akanielezea kidogo kuhusu maajabu ya mafuta ya bunduki kuwa ukiwa nayo huwezi kusogelewa na nyoka wala kudhuriwa na wachawi hata wawe na uwezo kiasi gani.
Karibuni kwa mawazo wenye kulitambua hili jambo.
Karibuni kwa mawazo wenye kulitambua hili jambo.