Ndugu wana Jamii Forum, Leo katika pitapita zangu nimekutana na mdau mmoja akanielezea kidogo kuhusu maajabu ya mafuta ya bunduki kuwa ukiwa nayo huwezi kusogelewa na nyoka wala kudhuriwa na wachawi hata wawe na uwezo kiasi gani.
Karibuni kwa mawazo wenye kulitambua hili jambo.
Hayo mafuta nayafaham...,,ila cjawah ckia kama yanawez fanya kazi hizo ulizozitaja.Ndugu wana Jamii Forum, Leo katika pitapita zangu nimekutana na mdau mmoja akanielezea kidogo kuhusu maajabu ya mafuta ya bunduki kuwa ukiwa nayo huwezi kusogelewa na nyoka wala kudhuriwa na wachawi hata wawe na uwezo kiasi gani.
Karibuni kwa mawazo wenye kulitambua hili jambo.
inaonekana kuna aina mbili ya binduki zinaongelewa hapa nngoja niendelee kufualitia
Mmmhh. . . . Kwa hiyo ni bora kununua ndoo nzima ukamwaga kuzunguka nyumba kuliko uzio??!!!
Ndugu wana Jamii Forum, Leo katika pitapita zangu nimekutana na mdau mmoja akanielezea kidogo kuhusu maajabu ya mafuta ya bunduki kuwa ukiwa nayo huwezi kusogelewa na nyoka wala kudhuriwa na wachawi hata wawe na uwezo kiasi gani.
Karibuni kwa mawazo wenye kulitambua hili jambo.