momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Wadada siwanywaji maji kabisa wanakunywa glasi moja tu baada ya kula lakini cha ajabu hawapati maradhi mengi kama sisi akina babaWanajiangamiza bila kujua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadada siwanywaji maji kabisa wanakunywa glasi moja tu baada ya kula lakini cha ajabu hawapati maradhi mengi kama sisi akina babaWanajiangamiza bila kujua.
Wana strong immunity kutuzidi bila shaka. Pia yale maprotini tunayowajaza yanawasaidia.Wadada siwanywaji maji kabisa wanakunywa glasi moja tu baada ya kula lakini cha ajabu hawapati maradhi mengi kama sisi akina baba
Hata wazee wa bapa wanajua maji ni dawa kubwa
A glass full of warm water early in the morning before you take anything in your stomach,fanya hii,ndani ya mwezi 1 utakuja kunishukuru...
Watu mnatoa shuhuda.Nimekubaliana na ushauri huu kwa asilimia 100 , maana baada ya kusoma huu uzi na kuanza kunywa maji mengi huwezi amini madonda ya tumbo yamepona kwa asilimia kubwa . Ubarikiwe uliyeanzisha huu Uzii[emoji123]
Yah kweli mkuu vyakula vya wanga vinasababisha bawasili kama siyo mtumiaji wa mbogamboga na matunda na maji mengi, mgonjwa wa bawasili akitumia vyakula visivyo kobolewa matunda na mboga mboga anapona bila kwenda hospitalMshauri apunguze na kula vyakula vya wanga itamsaidia sana.
Nakubaliana na hoja yako mkuu, matunda na mboga mboga ni vizuri sana kwenye mwili.Yah kweli mkuu vyakula vya wanga vinasababisha bawasili kama siyo mtumiaji wa mbogamboga na matunda na maji mengi, mgonjwa wa bawasili akitumia vyakula visivyo kobolewa matunda na mboga mboga anapona bila kwenda hospital
Kuna maajabu gani hapo mkuu kutumia maji ya vuguvugu asubuhi before anything ?!A glass full of warm water early in the morning before you take anything in your stomach,fanya hii,ndani ya mwezi 1 utakuja kunishukuru...
Kunywa mzinga mmoja na chupa Lita 3 za maji na Karanga robo ni kawaidaMaji yana umuhimu sana mwilini.
Kuna watu wanakaa hata siku 3 bila kinywa maji hasa dada zetu, mtu anakuambia sasa maji ninywe yanini na soda zipo.
Unapata haja kubwa vizuri na siku unaianza vizuri bila uchovu. Hakuna shida kubwa kama kutembea na kinyesi kilichogoma kutoka🤭🤭Kuna maajabu gani hapo mkuu kutumia maji ya vuguvugu asubuhi before anything ?!
Ukifika kazini unaanza kuvizia zile sehemu zisizo na watu wengi ili angalau utoe vigesi umiza...Unapata haja kubwa vizuri na siku unaianza vizuri bila uchovu. Hakuna shida kubwa kama kutembea na kinyesi kilichogoma kutoka🤭🤭
Ukifika kazini unaanza kuvizia zile sehemu zisizo na watu wengi ili angalau utoe vigesi umiza...
Huo utaratibu mzuri ila punguza mzinga mkuuKunywa mzinga mmoja na chupa Lita 3 za maji na Karanga robo ni kawaida