Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Maajabu ya Mbowe, Fatma Karume na Zitto: Wako kimya licha ya gharama za maisha kupanda. Kipindi Magufuli kaziba maslahi yao kelele kila siku!

Status
Not open for further replies.
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!

Mkishindwa kazi mnasingizia upinzani
 
Mbwa wewe na hao wenzio waliyopewa fupa likawafanya kunyamaza, waambie wakipokonywa fupa wasianze kubweka bweka.

Punguza hasira. Wakati wanateswa uliwacheka, Leo wametulia unawasema kwa hasira tukueleweje. Kwanini hiyo hasira usiipeleke kwa serikali ya CCM.
 
Nchi hii wananchi walio wengi huamini kuwa mwanasiasa hupigania maslahi yao ila nyuma ya pazia mambo ni tofauti sana.

Kipindi cha awamu ya tano kweli kulikuwa na mapungufu ya kiuongozi kama pia ilivyo sasa maana haiwezekani uongozi ukawa kamili kwa asilimia mia!

Mfano ni Zitto Kabwe kipindi cha JPM kila mara aliitisha vikao na waandishi wa habari akikosoa uongozi wa Magufuli hususani kwenye utawala bora, uchumi na mikopo, lakini leo hii kwenye utawala hui wa mama Samia Zitto huwezi kumsikia!

Wengine wanasema Zitto ni mdini sana, wengine wanasema kalambishwa asali na pia alikuwa na chuki na Magufuli baada ya kumtosa licha ya kujitutumua kubaki bungeni kwenye hotuba yake ya ufunguzi novemba 2015 baada ya CHADEMA kususia hotuba yake.

Mbowe mwenye kitu wa CHADEMA naye alikuwa mkosoaji mkubwa sana wa utawala wa Magufuli na hususani akiendeshwa na chuki yake binafsi ya ukabila na kiukanda waliyonayo viongozi mengi wa CHADEMA lakini cha kushangaza tokea atoke gerezani hakuna anachoshauri wala kukosoa serkali picha ya maisha kupanda, Chini ya kapeti Mwamba Makamba asali maisha yanaendelea kamwachia Heche anajitutumua!

Fatma Karume naye ni wale wale blahblah za hali na mambo mengine ya kutetea hali za ushoga na mambo yao binafsi ya uanaharakati pasipo kujali masrahi ya wananchi zinaendelea!

Huwezi kumuona huyu Bibi naweza kumwita akimtetea mama ntilie au mama aliyeko kijijini huko,Samia kaingia madarakani kwa vile ni mzenji wenzake kimya kabisa kana kwamba mambo yako sawa mtaani!

Wananchi lazima waamke kutegemea wanasiasa uchwara kama hawa ni kupoteza mda maana wao kikubwa washibe hakuna kingine!

Kumbe leo uneona umuhimu wa upinzani Tanzania. Tatizo CCM imeshindwa kazi pamoja na kuachiwa kila kitu.
 
Punguza hasira. Wakati
wanateswa uliwacheka, Leo
wametulia unawasema kwa
hasira tukueleweje. Kwanini
hiyo hasira usiipeleke kwa
serikali ya CCM.
Sijawaongelea kwa hasira sina muda huo kabisa, huyo member hapo yeye anaelewa lugha ya matusi na ndio maana namjibu kama anavyotaka. Ila hao wakina Mbowe na Zitto sijawahi kuhitaji kunisemea kwa lolote.
 
Maneno ya kujitia moyo baada ya chuki kwa upinzani kushindwa
 
Huu unaweza ukawa Uzi Wa ishirini kuwaita hao jamaa ila wamegoma. Wacha tuache. Mange nae yuko bize na tupu za watu !!

Ni mbinu ya kuficha madhaifu ya CCM basda ya kushindwa hata kupunguza mfumuko wa bei
 
Mpumbavu mkubwa wewe Leo unataka mbowe na zito waseme kitu ulikuwa wapi siku zote Ng' ngombe kutoka mwanza wewe. Nenda chato kamwambie FASHISTI aje apunguze garama za maisha Yako.
 
Unawakosea Hao Watu. Japo sijawahi kuwakubali Hata mara Moja wanasihasa Wa kibongo. Ila Fatuma Nampenda sana anavyoongea. Siku zote nilijua ana Mume ningeshapeleka posa Siku nyingi.
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hao wanasiasa hawana tatizo na Bei za mafuta Wala chakula mana pesa wanazo. Tatizo lao ni Demokrasia ambayo nayo Kwa wananchi sio kipao mbele.
Kwa Hiyo wao wanapigania maslahi yao na awamu Hii wameyapata. Hawana shida na maisha ya Watanzania kama ilivyo CCM Kwa Miaka 60 Bado tunaagiza Ngano Kutoka Urusi. Tunaagiza viberiti Kutoka china na kushindana Kwa vilabu Kununua Jezi Toka China badala ya kutengeneza KWENYE viwanda vyetu vya ndani. Soko kubwa la Tairi za magari lipo Lakini Cha ajabu kiwanda cha General Tyre ndio kinakufa kifo Cha Ménde na hakuna anayejali ndani ya CCM mana wanapiga madili Kwa matajiri wanaoagiza bidhaa nje ikiwemo Tairi Toka China.

Viongozi Wa Dini wanapigania maslahi ya Dini Zao ,wanasihasa wanapigania maslahi ya Siasa na wananchi wakiona Kuwa mfumuko mkubwa Wa Bei unaathiri maslahi yao basi wajitokeze wapiganie maslahi yao. Vinginevyo wasimbebeshe mwanasiasa mzigo Wa kupigania maslahi yao.

Kagame aliamua kuingia msituni baada ya kuona anaishi uhamishoni kama mkimbizi Wakati anaweza kupigania haki yake ya kuishi Rwanda kama shujaa. Alipambana na Sasa ndiye Rais mzalendo kuliko Marais Wote Afrika. Angekaa kimya asubiri wanasihasa wenye vyama wapiganie maslahi yake angefia uhamishoni kama digidigi.
Demokrasia sio kipaumbele cha wananchi? Huu ni uelewa wa ajabu sana.

Sasa serikali inapowakandamiza na tozo za kila aina na maamuzi mengine ya ovyo ikiwa ni pamoja na kufuja fedha za umma kwa ufisadi na matumizi ya anasa, wananchi wanawawajibishaje watawala? Kwa mapambano ya silaha?

Kama kweli Watanzania hawataki demokrasia acha watawala waendelee kulamba asali kwa jeuri yote kila mtu ajijue mwenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom