bway hermit JF-Expert Member Joined Jan 8, 2017 Posts 1,337 Reaction score 2,339 Jul 25, 2017 #1 Katika mboga inayoaminika kuwa Na umuhimu kweny uongezaji wa damu mwilini basi MCHICHA ni miongoni mwa mboga hizo. Mchicha ni muhimu kwa wanaume wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. USILOLIJUA.........=USIKU WA GIZA wanaume oyeee Wanaume kuleni mchicha ni muhimu kwa afya ya mwili wako kwa kuongeza Na kuimarisha mzunguko wa damu mwilini. Nafanya biashara ya MCHICHA karibuni Sana. Sent using Jamii Forums mobile app
Katika mboga inayoaminika kuwa Na umuhimu kweny uongezaji wa damu mwilini basi MCHICHA ni miongoni mwa mboga hizo. Mchicha ni muhimu kwa wanaume wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. USILOLIJUA.........=USIKU WA GIZA wanaume oyeee Wanaume kuleni mchicha ni muhimu kwa afya ya mwili wako kwa kuongeza Na kuimarisha mzunguko wa damu mwilini. Nafanya biashara ya MCHICHA karibuni Sana. Sent using Jamii Forums mobile app
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,320 Jul 25, 2017 #2 Nilijua tu mwisho utasema unauza mchicha
kiboboso JF-Expert Member Joined Sep 17, 2013 Posts 9,323 Reaction score 12,594 Jul 25, 2017 #3 Lipia Tangazo
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Jul 25, 2017 #4 Hahahahahaha mkuu tangazo ungeweka moja kwa moja tu.
king otaligamba JF-Expert Member Joined Oct 24, 2016 Posts 2,178 Reaction score 2,033 Jul 25, 2017 #5 Hiyo biashara yako itakutoa kimaisha ukiifanya ukiwa Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo biashara yako itakutoa kimaisha ukiifanya ukiwa Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jul 25, 2017 #6 unaongeza nguvu za kiume kivipi...mchicha upi kwanza wa kienyeji au wa kisasa?
CHE Raptino JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 1,027 Reaction score 1,068 Jul 26, 2017 #7 Maana ya ziada..........
carbamazepine JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 46,562 Reaction score 285,591 Jul 26, 2017 #8 Umelipia hili tangazo?
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,970 Reaction score 35,168 Jul 26, 2017 #9 king otaligamba said: Hiyo biashara yako itakutoa kimaisha ukiifanya ukiwa Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... ππππππ
king otaligamba said: Hiyo biashara yako itakutoa kimaisha ukiifanya ukiwa Dar es Salaam Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... ππππππ
kobokocastory JF-Expert Member Joined Aug 30, 2014 Posts 1,076 Reaction score 1,270 Jul 27, 2017 #10 Dah..., Mchicha huo au sio?
Eternal_Life JF-Expert Member Joined Oct 28, 2016 Posts 812 Reaction score 1,674 Jul 27, 2017 #12 Mchicha=kuongeza nguvu za kiume(kuchuma)....basi sawa