bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
Katika mboga inayoaminika kuwa Na umuhimu kweny uongezaji wa damu mwilini basi MCHICHA ni miongoni mwa mboga hizo.
Mchicha ni muhimu kwa wanaume wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.
USILOLIJUA.........=USIKU WA GIZA
wanaume oyeee
Wanaume kuleni mchicha ni muhimu kwa afya ya mwili wako kwa kuongeza Na kuimarisha mzunguko wa damu mwilini.
Nafanya biashara ya MCHICHA karibuni Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchicha ni muhimu kwa wanaume wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.
USILOLIJUA.........=USIKU WA GIZA
wanaume oyeee
Wanaume kuleni mchicha ni muhimu kwa afya ya mwili wako kwa kuongeza Na kuimarisha mzunguko wa damu mwilini.
Nafanya biashara ya MCHICHA karibuni Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app