Maajabu ya Mfupa wa Nguruwe(mdudu)

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082

1. KWANZA WAFUGAJI WA NGURUWE SIJUI WANALITAMBUA ILI KUWA NGURUWE NIKINGA YA MASHETANI Yaani yeye anachukiwa na mashetani/wachawi🤔😂😂
2. MFUPA WA NG'URUWE NI KINGA tosha kujiweka mbali na WACHAWI au nguvu za giza.
NA UFANYAJE UNAWEZA KUWA NAO KWA POCHI YAKO AU UKAUFUNGA KWA KITAMBAA /UKAWEKA PEMBE ZONI MWA PEMBE ZA KUTA ZA NYUMBA YAKO.
• IKO HIVO SOMO LIFUATALO NITAWAPA FAIDA YA KUVAA NGUO KINYUME...PAMOJA NA KUMILIKI WEMBE NA SINDANO ILA KUVIWEKA MBALI.KIDOGO..
Imeandaliwa na Kimodomsafi
 

Mshana junior ni msomi na anaandika vitu kwa kina na utafiti, sio kama wewe, huwezi mfikia.
 
Ni kweli kabisa, nashangaa jinsi members huku wanavyompamba wakati hajui lolote in deep
Mshana jr ni fluke , he knows nothing about nothing . Hawa member wana mtaja sijui ni wakina Nani ? We want real people with knowledge and content . Si mtu Ana kuja hapa light weight anataka kuwa danganya wasomi . Knowledge aijifichi .
 
Ww yani nyuzi zote hizi Alf zenyewe zimekaa kitapeli kweli kweli.
 
Kwahiyo hapo kwenye namba 1 unataka kusema hawa ndugu zetu wavaa kobazi ni mashetani na majini maana wanachukia hiyo kitu.
 
To he honest mshana ukimtafuta hajui chochote kile . Anajua story za mtaani tu na kuambiwa . Tested him na hajui kitu he is paper white . Prove me wrong
Khaaaaaah umeamua kumsanua mwamba. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshana jr ni fluke , he knows nothing about nothing . Hawa member wana mtaja sijui ni wakina Nani ? We want real people with knowledge and content . Si mtu Ana kuja hapa light weight anataka kuwa danganya wasomi . Knowledge aijifichi .
Kiufupi ni mjanja mjanja
 
Wachawi wa pwani tena wa miaka hiyo maana huko kwetu bara wachawi wanafuga na kula nguruwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…