Maajabu ya Mfupa wa Nguruwe(mdudu)


Umenikumbusha miezi ya nyumba kidogo niliweka pua ya nguruwe chini ya kitanda ili kuzuia majini aseee mpaka leo najiuliza ile pua imeendaga wapi sielewi na kwangu hamna paka wala panya!
 

Luka 8:29-33 BHN​

Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia huyo pepo mchafu amtoke mtu huyo. Pepo huyo mchafu alikuwa anamvamia mtu huyo mara nyingi, na ingawa watu walimweka ndani na kumfunga kwa minyororo na pingu, lakini kila mara alivivunja vifungo hivyo, akakimbizwa na pepo huyo mchafu hadi jangwani. Basi, Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” Yeye akajibu, “Jina langu ni ‘Jeshi’” – kwa sababu pepo wengi walikuwa wamempagaa. Hao pepo wakamsihi asiwapeleke kwenye shimo kuu. Mahali hapo kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. Basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. Naye Yesu akawapa ruhusa. Kwa hiyo pepo hao wakamtoka yule mtu, wakawaingia wale nguruwe, nao wakaporomoka kwenye ule mteremko mkali, wakatumbukia ziwani, wakafa maji.
 
Unazungumzia wachawi gani maana kuna wachawi wanafuga nguruwe na kula nyama yake sasa mfupa kitu gani kwao
 
kufanya haya tayali wewe unakuwa mfuasi wa sheitani
 
Why take all the troubles ya kutembea ukiwa umebeba mifupa ya wanyama mfukoni wakati ukitamka Jina la Yesu tu hata mapepo walioko Sayari ya Mars wanakimbia?
 
To be honest mshana ukimtafuta hajui chochote kile . Anajua story za mtaani tu na kuambiwa . Tested him na hajui kitu he is paper white . Prove me wrong

Yaani wewe kama sio mwanga basi ni mchawi uliekubuhu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…