Maajabu ya msiba, Halima avunja ukimya

Maajabu ya msiba, Halima avunja ukimya

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mabibi na mabwana msiba wa mzee baba umekuwa na maajabu yake.

Ilikuwa Jaffo na sasa bi Halima au sauti ya zege:

IMG_20210327_064409_035.jpg

Kutokea kwenye kuvunjwa mkono hadi kwenye mahaba niue, kweli siku hazigandi.

Kalale pema peponi JPM.
 
Hili limepangwa lengo likiwa ni lilele la kumtukuza na kumfanya marehemu aonekane alikuwa anakubalika.

Wanatamani sana kuona wapinzani wakimsifu marehemu wanasahau Mdee si mpinzani tena.

Mdee hapo katumika.
 
Wanasiasa ni watu katili sana
Halima Muogope Mungu
Dah kumbe zile kelele bungeni ilikuwa funika kombe mwana apite...
Lakini Mungu ni visasi
Wakati utafika '
 
Haya mapicha yameenea kila mahali, hivyo kukifanya hiki kitendo wala si ajabu, wengi tu wamejiselfie na izo picha ilo kutafuta kiki za ovyo.

Ni lipi unataka kukifikisha kwa hadhira yako ndilo la msingi, na matendo aya kwa jinsi yalivyosambaratisha popularity za hawa madada nadhan ni only time will tell.
 
Huwa napenda mhukumu awe anafahamu anachohukumu lkn humu wahukumu wengi wanatoa details ndogondogo mara kanunuliwa! Kwa uthibitisho upi ndugu!.. mnasemaa utafikiri huwa mnachangiaga hata mia kwenye kuilisha familia yake wabongo bhana! Sasa mlitaka aukose mkate ili aje aishi maisha ya kuomboleza muanze na kumsengenya!
 
Huwa napenda mhukumu awe anafahamu anachohukumu lkn humu wahukumu wengi wanatoa details ndogondogo mara kanunuliwa! Kwa uthibitisho upi ndugu!.. mnasemaa utafikiri huwa mnachangiaga hata mia kwenye kuilisha familia yake wabongo bhana! Sasa mlitaka aukose mkate ili aje aishi maisha ya kuomboleza muanze na kumsengenya!
watu wanajua wanachokifanya usiwaone hamnazo. wanajua mengi sana
 
Back
Top Bottom