Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchumia tumboKwani hujui kama alinunuliwa?
ufike mara ngapi, sura mbili wote wamewekwa peupe, uchi gulioni.Wanasiasa ni watu katili sana
Halima Muogope Mungu
Dah kumbe zile kelele bungeni ilikuwa funika kombe mwana apite...
Lakini Mungu ni visasi
Wakati utafika '
katika watu wapumbavu wakubwa awamu hii ni huyu dadaHuyu na wenzie ndio waliochangiwa milioni 300 ndani ya 24hrs ili waepuke jela. Baada ya hapo wakavunjwa mikono na Bulaya wake
watu wanajua wanachokifanya usiwaone hamnazo. wanajua mengi sanaHuwa napenda mhukumu awe anafahamu anachohukumu lkn humu wahukumu wengi wanatoa details ndogondogo mara kanunuliwa! Kwa uthibitisho upi ndugu!.. mnasemaa utafikiri huwa mnachangiaga hata mia kwenye kuilisha familia yake wabongo bhana! Sasa mlitaka aukose mkate ili aje aishi maisha ya kuomboleza muanze na kumsengenya!