Maajabu ya msiba, Halima avunja ukimya

Maajabu ya msiba, Halima avunja ukimya

watu wanajua wanachokifanya usiwaone hamnazo. wanajua mengi sana
Wanatupa wakati mgumu tusiojua maana kusema tu kanunuliwa mi naona haitoshi! Kama wanajua hayo basi wanajua wao sisi wengine tunajua kafata upepo unapovuma! Unafikiria mnaweza mchangia kwa muda wa miaka 5 chakula,ada za wanae,maradhi na makazi..! Kama hamtakuja kumsengenya bure dada wa watu..😂
Muda mwengine kujifanya mwema sana utaishia kuumia na kuaibika hao wanaosema leo ndo wakukusengenya kesho.. wacheni dada aume patamu.
 
Wanasiasa ni watu katili sana
Halima Muogope Mungu
Dah kumbe zile kelele bungeni ilikuwa funika kombe mwana apite...
Lakini Mungu ni visasi
Wakati utafika '
Roho mbaya haijengi Dada!
 
It doesn’t make lots of sense kuendeleza bifu na marehemu. Kuna watu husamehe “7X70” hasa kwa marehemu waliotangulia mbele ya haki

It hurts more to hold grudges than to forgive.
 
Huyu na wenzie ndio waliochangiwa milioni 300 ndani ya 24hrs ili waepuke jela. Baada ya hapo wakavunjwa mikono na Bulaya wake.
Mwanasiasa ni kama kinyonga tu.
 
It doesn’t make lots of sense kuendeleza bifu na marehemu. Kuna watu husamehe “7X70” hasa kwa marehemu waliotangulia mbele ya haki

It hurts more to hold grudges than to forgive.

Mama Samia anayo fursa adimu sana ya kuliponya taifa hili sasa.

Chuki ilikuwapo ni kwa wengine ingalipo.

Mwanzo mwema wa mama kunaweza wafanya wengi kuona umuhimu wa kuyaona yaliyopita kuwa si ndwele tena.

Tuna gonjwa linalotunyemelea na VP ajaye ni mtu gani.

Panaweza bingo la kupigwa hapa kwa mustakabala mwema wa nchi hii ili yaliyotokea yasije kutokea tena.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Nadhani unakosea,Mimi nilikuwa CCM nilikuwa nalipwa fedha nimeachana na huo upuuzi muda mrefu uliopita

Sasa hivi ujira wangu halali wala hauna najisi ya fedha za Wizi wanazoibiwa Wananchi
Ukisema wewe Mimi nanyamaza. Ulikuwa mpinzani wangu kwa hoja mpaka siku ulipobadilika nilikaa siku nzima bila kuandika chochote nikidhani wamehack akaunti yako. Ni kweli ulikuwa Mchungaji wa Mshahara.
 
Ukisema wewe Mimi nanyamaza. Ulikuwa mpinzani wangu kwa hoja mpaka siku ulipobadilika nilikaa siku nzima bila kuandika chochote nikidhani wamehack akaunti yako. Ni kweli ulikuwa Mchungaji wa Mshahara.
Na sasa tuko pamoja huku kwenye Mabomu ya machozi ndiko Mungu alipotuweka mpaka Ushindi utakapopatikana HAKI dhidi ya UDHALIMU na HAKI itaibuka Kidedea Trust me
 
Niwambie tu nje ya chadema kila mtu ana maisha yake.sasa halima mnadhani miaka mitano angeishi vipi. Mwacheni afanye anachofanya maana chadema ni debe tupu kwa sasa
 
Back
Top Bottom