PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Duh!!!Halima ni malaya
Unaambiwa usimuamini mwanasiasa hata akikwambia sa hv ni usiku toka nje uhakikishe kama ni usiku ni wanafiki sana hawa watuNilichogundua siasa ni mbaya sana
Ile ahadi ya unaibu Waziri ndiyo imeota mbawa. Pole yake Mzee Mdee.Hili limepangwa lengo likiwa ni lilele la kumtukuza na kumfanya marehemu aonekane alikuwa anakubalika.
Wanatamani sana kuona wapinzani wakimsifu marehemu wanasahau Mdee si mpinzani tena.
Mdee hapo katumika.
Nani kakuambia huyo ni msichana? Bikidude huyoHuyu Msichana ni wakupuuzwa kazicheza karata zake vibaya
😂😂 Sikupingi mkuuUnaambiwa usimuamini mwanasiasa hata akikwambia sa hv ni usiku toka nje uhakikishe kama ni usiku ni wanafiki sana hawa watu