Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Wizara ya Afya kila watu 4 mmoja kati yenu/Yao/yetu anatatizo la afya ya akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry mleta mada. Umeanza hii mada vizuri lakini hapa umeharibu. Sentensi ya kwanza ni batili (fallacy). Huwezi kuhitimisha hivyo kwa taifa zima la watu >60m.Tanzania hatuna wanasiasa kabisa. Hawa wabunge wetu, mawaziri wetu, sioni mwanasiasa pale. Anzia Ikulu, njoo kwenye Bunge, njoo kwenye baraza la mawaziri, kama kuna wanasiasa labda ni watano au sita. Wengine wote ni opportunist tu, wapo pale kutafuta fursa, na ndio maana matajiri wa Tanzania wanapatikana kupitia siasa.
Hebu niambie nani katika hawa viongozi wa CCM sijui, ACT wazalaendo nk unamwona ni mwanasiasa? Labda mtu kama Tundu Lissu nitakubali, Kafulila ndio, Zungu sawa, Lipumba yupo, Pole Pole, Mbowe ndio, Mpina kweli, Zitto sawa, na wengine wawili watatu. Lakini mtu serious unakaa unamwona Tulia, Msukuma, January Makamba, Nape, Bashe, unawaita wanasiasa? That is a joke.
Maokoto yanahusika,alipewa offer ambayo hakuweza kuikataa.1b siyo hela ndogo kwa usawa huu.Msigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa, akakorofishana na Mbowe, au tuseme akashindwa uchaguzi ndani ya Chadema na ikawa kichocheo cha badiliko kubwa kwa Msigwa tunaemfahamu.
Sasa suala la kujiuliza, au hasa la kumuuliza Msigwa ni kwamba, yale mambo ambayo hukuyapenda ndani ya CCM, au watu ambao hukuwapenda ndani ya CCM na aliona hawafai kuwa viongozi wa Tanzania, kushindwa kwake uchaguzi ndani ya Chadema, au kukorofishana kwake na Mbowe, kumeyabadilisha au kuwabadilisha watu hao na kufanya sasa yawe mazuri wawe viongozi wazuri?
Kwa mfano, kama Msigwa hakumpenda Bashe kwa uongo kwa Bunge juu ya vibali vya sukari, kukorofishana na Mbowe kunabadilisha uongo aliosema Bashe na kuufanya uwe ukweli? Au kama Msigwa hakumpenda Samia kutokana na mkataba wa bandari kwa DP World, sasa anampenda Samia na Mkataba wa DP World kwa sababu ameshindwa uchaguzi Chadema?
Msigwa anaweza kusema kuna mambo yamebadilika ghafla ndani ya Chadema ndio maana ameondoka, lakini zaidi tungependa kujua ni mambo gani yamebadilishwa ghafla ndani ya CCM na kuanza kuipenda CCM dhidi ya Chadema, au ni unafiki na umalaya wa kisiasa tu tunaoshuhudia hapa?
Ningemwelewa Msigwa kama angeondoka Chadema na kutulia nyumabani, lakini sio kwenda kwenye CCM alikowadosoa kwamuda wote huu. Kwa kufanya hivyo hastahili hata heshima ya kuitwa mchungaji katika unafiki kama huo.
Ni wachache sana watakuelewa umejenga hoja ambayo imaonyesha Msigwa hakuwa akiyasema hayo toka moyoni alikuwa akiyasema kama mwanasiasa ambaye lazima aseme kitu ili asikike na wala hakuwa anamaanisha hivyo. Ni hatari sana nchi kuwa na aina hii ya wanasiasa, hawa hawatakiwi kupewa nchi au uongozi kabisa kwani hawatakaa kwamwe kumshauri raisiMsigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa, akakorofishana na Mbowe, au tuseme akashindwa uchaguzi ndani ya Chadema na ikawa kichocheo cha badiliko kubwa kwa Msigwa tunaemfahamu.
Sasa suala la kujiuliza, au hasa la kumuuliza Msigwa ni kwamba, yale mambo ambayo hukuyapenda ndani ya CCM, au watu ambao hukuwapenda ndani ya CCM na aliona hawafai kuwa viongozi wa Tanzania, kushindwa kwake uchaguzi ndani ya Chadema, au kukorofishana kwake na Mbowe, kumeyabadilisha au kuwabadilisha watu hao na kufanya sasa yawe mazuri wawe viongozi wazuri?
Kwa mfano, kama Msigwa hakumpenda Bashe kwa uongo kwa Bunge juu ya vibali vya sukari, kukorofishana na Mbowe kunabadilisha uongo aliosema Bashe na kuufanya uwe ukweli? Au kama Msigwa hakumpenda Samia kutokana na mkataba wa bandari kwa DP World, sasa anampenda Samia na Mkataba wa DP World kwa sababu ameshindwa uchaguzi Chadema?
Msigwa anaweza kusema kuna mambo yamebadilika ghafla ndani ya Chadema ndio maana ameondoka, lakini zaidi tungependa kujua ni mambo gani yamebadilishwa ghafla ndani ya CCM na kuanza kuipenda CCM dhidi ya Chadema, au ni unafiki na umalaya wa kisiasa tu tunaoshuhudia hapa?
Ningemwelewa Msigwa kama angeondoka Chadema na kutulia nyumabani, lakini sio kwenda kwenye CCM alikowadosoa kwamuda wote huu. Kwa kufanya hivyo hastahili hata heshima ya kuitwa mchungaji katika unafiki kama huo.
Wanasiasa walio wengi wa Tz hilo siyo suala linalowahangaisha sana. Wao wanachoangalia siyo walichosema (maana watasema hawakueleweka vizuri/watu walielewa vibaya), bali mambo gani/ulaji gani uko mbele yao. Hili ndilo jambo muhimu kwao.Msigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa, akakorofishana na Mbowe, au tuseme akashindwa uchaguzi ndani ya Chadema na ikawa kichocheo cha badiliko kubwa kwa Msigwa tunaemfahamu.
Sasa suala la kujiuliza, au hasa la kumuuliza Msigwa ni kwamba, yale mambo ambayo hukuyapenda ndani ya CCM, au watu ambao hukuwapenda ndani ya CCM na aliona hawafai kuwa viongozi wa Tanzania, kushindwa kwake uchaguzi ndani ya Chadema, au kukorofishana kwake na Mbowe, kumeyabadilisha au kuwabadilisha watu hao na kufanya sasa yawe mazuri wawe viongozi wazuri?
Kwa mfano, kama Msigwa hakumpenda Bashe kwa uongo kwa Bunge juu ya vibali vya sukari, kukorofishana na Mbowe kunabadilisha uongo aliosema Bashe na kuufanya uwe ukweli? Au kama Msigwa hakumpenda Samia kutokana na mkataba wa bandari kwa DP World, sasa anampenda Samia na Mkataba wa DP World kwa sababu ameshindwa uchaguzi Chadema?
Msigwa anaweza kusema kuna mambo yamebadilika ghafla ndani ya Chadema ndio maana ameondoka, lakini zaidi tungependa kujua ni mambo gani yamebadilishwa ghafla ndani ya CCM na kuanza kuipenda CCM dhidi ya Chadema, au ni unafiki na umalaya wa kisiasa tu tunaoshuhudia hapa?
Ningemwelewa Msigwa kama angeondoka Chadema na kutulia nyumabani, lakini sio kwenda kwenye CCM alikowadosoa kwamuda wote huu. Kwa kufanya hivyo hastahili hata heshima ya kuitwa mchungaji katika unafiki kama huo.
Msigwa ni mlafi na mtu asiyejua anataka nini.Msigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa, akakorofishana na Mbowe, au tuseme akashindwa uchaguzi ndani ya Chadema na ikawa kichocheo cha badiliko kubwa kwa Msigwa tunaemfahamu.
Sasa suala la kujiuliza, au hasa la kumuuliza Msigwa ni kwamba, yale mambo ambayo hukuyapenda ndani ya CCM, au watu ambao hukuwapenda ndani ya CCM na aliona hawafai kuwa viongozi wa Tanzania, kushindwa kwake uchaguzi ndani ya Chadema, au kukorofishana kwake na Mbowe, kumeyabadilisha au kuwabadilisha watu hao na kufanya sasa yawe mazuri wawe viongozi wazuri?
Kwa mfano, kama Msigwa hakumpenda Bashe kwa uongo kwa Bunge juu ya vibali vya sukari, kukorofishana na Mbowe kunabadilisha uongo aliosema Bashe na kuufanya uwe ukweli? Au kama Msigwa hakumpenda Samia kutokana na mkataba wa bandari kwa DP World, sasa anampenda Samia na Mkataba wa DP World kwa sababu ameshindwa uchaguzi Chadema?
Msigwa anaweza kusema kuna mambo yamebadilika ghafla ndani ya Chadema ndio maana ameondoka, lakini zaidi tungependa kujua ni mambo gani yamebadilishwa ghafla ndani ya CCM na kuanza kuipenda CCM dhidi ya Chadema, au ni unafiki na umalaya wa kisiasa tu tunaoshuhudia hapa?
Ningemwelewa Msigwa kama angeondoka Chadema na kutulia nyumabani, lakini sio kwenda kwenye CCM alikowadosoa kwamuda wote huu. Kwa kufanya hivyo hastahili hata heshima ya kuitwa mchungaji katika unafiki kama huo.
Kwa kujiunga CCM Msigwa is not principled kabisa asidanganye watu.Vipande vya Rupia at work.KwishneyMsigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa, akakorofishana na Mbowe, au tuseme akashindwa uchaguzi ndani ya Chadema na ikawa kichocheo cha badiliko kubwa kwa Msigwa tunaemfahamu.
Sasa suala la kujiuliza, au hasa la kumuuliza Msigwa ni kwamba, yale mambo ambayo hukuyapenda ndani ya CCM, au watu ambao hukuwapenda ndani ya CCM na aliona hawafai kuwa viongozi wa Tanzania, kushindwa kwake uchaguzi ndani ya Chadema, au kukorofishana kwake na Mbowe, kumeyabadilisha au kuwabadilisha watu hao na kufanya sasa yawe mazuri wawe viongozi wazuri?
Kwa mfano, kama Msigwa hakumpenda Bashe kwa uongo kwa Bunge juu ya vibali vya sukari, kukorofishana na Mbowe kunabadilisha uongo aliosema Bashe na kuufanya uwe ukweli? Au kama Msigwa hakumpenda Samia kutokana na mkataba wa bandari kwa DP World, sasa anampenda Samia na Mkataba wa DP World kwa sababu ameshindwa uchaguzi Chadema?
Msigwa anaweza kusema kuna mambo yamebadilika ghafla ndani ya Chadema ndio maana ameondoka, lakini zaidi tungependa kujua ni mambo gani yamebadilishwa ghafla ndani ya CCM na kuanza kuipenda CCM dhidi ya Chadema, au ni unafiki na umalaya wa kisiasa tu tunaoshuhudia hapa?
Ningemwelewa Msigwa kama angeondoka Chadema na kutulia nyumabani, lakini sio kwenda kwenye CCM alikowadosoa kwamuda wote huu. Kwa kufanya hivyo hastahili hata heshima ya kuitwa mchungaji katika unafiki kama huo.
Aaah. Okay, basi narekebisha. Katika hawa waliojitokeza, Tanzania hatuna wanasiasa!Sorry mleta mada. Umeanza hii mada vizuri lakini hapa umeharibu. Sentensi ya kwanza ni batili (fallacy). Huwezi kuhitimisha hivyo kwa taifa zima la watu >60m.
Anatafuta pesa za haraka na kazipata za bureeeSorry mleta mada. Umeanza hii mada vizuri lakini hapa umeharibu. Sentensi ya kwanza ni batili (fallacy). Huwezi kuhitimisha hivyo kwa taifa zima la watu >60m.
Halafu hao uliowatolea mfano ni watu wachache wanaosikika kwenye media mara kwa mara kwa nafasi walizo nazo.
Kikubwa ni muhimu ujiulize kwa nini hali ni mbaya hivyo. Jibu linarejea pale pale. Tangu awali uhuru wa kufanya siasa Tanzania umekandamizwa sana. Nchi imeshikiliwa na chama dola, uongozi ni wa Rais aliye juu ya katiba na sheria (imperial president) na mwenye kauli ya mwisho juu ya masuala yote ya kitaifa (totalitarian state). Kukosoa au kupinga kauli ya Rais/dola inahesabiwa ni uhaini na inaweza kumsababishia mtu kifungo au umauti kisheria au hata nje ya sheria (extrajudicial).
Katika mazingira hayo ya uovyo wa nchi nzima, hakuna haja ya kusumbuka sana na ubora au ubovu wa wanasiasa binafsi (individuals). Haina tija. Wakiwa ovyo, wachumia tumbo, inaeleweka. Wakiwa bora, wapambanaji, inafikirisha. Kipi kifanyike kuwe na siasa za maana nchini?
Kusema kweli kitenda kile kiliwadhalilisha sana wajumbe wote wa NEC pamoja na mwenyekiti wao, yaani huyu andunjje Msigwa wiki moja tu nyuma alivyokuwa Singida kwenye ziara ya Lissu alikuwa anawapaka kinyesi kabisa lakini kwa usiku mmoja tu wamekuwa na imani naye.Miaka mitano tena ya uhuni huu wa kisiasa? Imenishitua sana kuona eti Msigwa anaingia ukumbuni, Raisi na Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu sijui na nani, wanaanza kuimba tuna imani na Msigwa!
Yaani viongozi kama hawa wa kitaifa wako serious wanaimba tuna imani na mtu ambaye kila mwenye akili anaona ni ndumila kuwili asie na msimamo na huyo ndio mnaimba tuna imani naye, hivi nyie ni wanasiasa serious kweli, tuwaamini kuiongoza nchi hii kama watu makini?
He kumbe huyu ngedere amevuna Tsh, 1,000,000,000/- ndiyo maana kapagawa hadi kapata kigugumizi.Ila ajue zitaisha hizo na utu wake hawezi kuurudisha tena. Angekula tartiib bila kuanza kuropoka ovyo kwani kuna wafia chama hawajawahi kupata hata 10% ya hela hiyo toka kwenye chama chao.Maokoto yanahusika,alipewa offer ambayo hakuweza kuikataa.1b siyo hela ndogo kwa usawa huu.
Rais leo kasema viongozi wasiwe na ndimi mbilimbili ndilo hilo la MsigwaNi wachache sana watakuelewa umejenga hoja ambayo imaonyesha Msigwa hakuwa akiyasema hayo toka moyoni alikuwa akiyasema kama mwanasiasa ambaye lazima aseme kitu ili asikike na wala hakuwa anamaanisha hivyo. Ni hatari sana nchi kuwa na aina hii ya wanasiasa, hawa hawatakiwi kupewa nchi au uongozi kabisa kwani hawatakaa kwamwe kumshauri raisi