Maajabu ya Mungu!

Maajabu ya Mungu!

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
3,211
Reaction score
3,611
Huu mmea umepewa jina lisilo la kitaalam la kiingereza la "Pretence Dying Plant" Kiswahili "Kifauongo" Uko kwenye kundi la mimea inayofunga majani yake unapoigusa au inapohisi kishindo cha miguu ya mnyama. Kuna uhusiano gani wa Kisayansi kwa mmea huu usiokuwa na macho wala masikio lakini una hisia kama za mnyama (mamalia)? Inaaminika unatibu tatizo ambalo naliweka kwenye mabano hapa. Kweli MUNGU anatisha.

1641140967019.png
 
Na kinyonga kibadili rangi kulingana na mazingira vipi?
Zamani enzi za Biblia ukoma ilikuwa ni laana na haiwezi kutibika kitabibu vipi sasa mbona unatibika?
 
Huu mmea umepewa jina lisilo la kitaalam la kiingereza la Dying Plant. Kiswahili kifauongo. Uko kwenye kundi la mimea inayofunga majani yake unapoigusa au inapohisi kishindo cha miguu ya mnyama. Kuna uhusiano gani wa Kisayansi kwa mmea huu usiokuwa na macho wala masikio lakini una hisia kama za mnyama (mamalia)? Inaaminika unatibu tatizo ambalo naliweka kwenye mabano hapa. Kweli MUNGU anatisha.

View attachment 2066330
Unatibu nini acha kutuweka ktk majaribu😂
 

Mmea mla nyama (Carnivorous plant)View attachment 2066341

Wauza mimea kwenye bustani za biashara wanatakiwa kuchukuwa tahadhari kubwa kwa kupewa maarifa ya msingi ya Botania ili wawe salama na wahakikishe usalama wa wateja wao kwa kuwauzia mimea isiyo hatari kwao.

Kuna Mchungaji mmoja aliwahi kumfungua mama mmoja hivi aliyeshindikana kwenye Makanisa mengi yakiwemo ya nje ya nchi hadi pale Mchungaji huyu alipofunuliwa kwamba mama huyo anaangamizwa na mmea alioununua kwenye bustani kwa ajili ya kupamba mji wake.

Mchungaji huyo alipoenda kuutokomeza mmea huo tu huyo mama akafunguliwa vifungo vyake vya miongo mingi.
 
Uuuwiii uko kwenye sayari hii hii ya dunia au?

Kwahiyo ukikaa karibu nao unaliwa siyo?

Kuna mdudu atausogelea kweli?

Na je, unachavushaje maua yake bila mdudu?

Jamani MUNGU ana uumbaji wa kutisha!
anakula wadudu
mouche attrapee par une plante carnivore - dionee.jpg
 

Poison hemlock plant (Conium Maculatum) mmea ambao ndiyo una sumu kali kuliko sumu zote duniani (uliotumiwa sana na kikundi cha Mafia kwenye mauaji ya viongozi duniani na uliotumika kumuua Socrates katika mwaka wa 399 BCE).

Mmea huu asili yake pekee ni Afrika Kaskazini ya Jangwa la Sahara (japo inaaminika Ulaya iliuchukuwa toka Afrika na kuukuza huko pia).

Baadaye umekuja kupandwa ugenini kwenye nchi za Canada, Asia, Australia na Majimbo yote ya US.

Sumu yake ni ghali sana duniani na inapatikana kwa magendo tu.

Kwingineko duniani umepewa kampeni kubwa kama mmea-gugu ili kuficha kilimo chake.

1641144418404.png


Taswira kwa hisani ya google.
 
Kuna mti uko hifadhi ya Selous, huo mti ukifika chini wakati wa maua utakutana na ndege kama wote.
Una sumu hatari sana, wazee wa kule walikuwa wakigema utomvu wake ili kutengenezea sumu hatari ya kuua wanyama wakali au binadamu.
Ule mti ni noma . Ukiramba tu kwisha habari zako
Poison hemlock plant (Conium Maculatum) mmea ambao ndiyo una sumu kali kuliko sumu zote duniani (uliotumiwa sana na kikundi cha Mafia kwenye mauaji ya viongozi duniani na uliotumika kumuua Socrates katika mwaka wa 399 BCE).

Mmea huu asili yake pekee ni Afrika Kaskazini ya Jangwa la Sahara (japo inaaminika Ulaya iliuchukuwa toka Afrika na kuukuza huko pia).

Baadaye umekuja kupandwa ugenini kwenye nchi za Canada, Asia, Australia na Majimbo yote ya US.

Sumu yake ni ghali sana duniani na inapatikana kwa magendo tu.

Kwingineko duniani umepewa kampeni kubwa kama mmea-gugu ili kuficha kilimo chake.

View attachment 2066361

Taswira kwa hisani ya google.
 
Kuna mti uko hifadhi ya Selous, huo mti ukifika chini wakati wa maua utakutana na ndege kama wote.
Una sumu hatari sana, wazee wa kule walikuwa wakigema utomvu wake ili kutengenezea sumu hatari ya kuua wanyama wakali au binadamu.
Ule mti ni noma . Ukiramba tu kwisha habari zako
Hemlock poison haina antidote duniani. Waisrael pekee duniani ndiyo wanaaminika kugundua antidote yake lakini hawaiuzi hata kwa malipo ya kumfufua Musa wao (Nabii rafiki wa MUNGU), tena inasemekana wameprotect kwa sheria na sera exportation yake. Wanasubiri mkiishapigana sumu ya hemlock basi mbebane mjipeleke kwao wawaondolee kwa antidote hiyo ili muwalipe pesa nyingi.
 
Back
Top Bottom