INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Ila Tz 😀Kwani hao ulie wataja na huyo alie shinda, ni wanamziki wa nchi gani...🤔
Wote NI wa tz Ila we unamtambua rayvany kwa kuimba singeli!!!!Kwani hao ulie wataja na huyo alie shinda, ni wanamziki wa nchi gani..samahani kidogo nikuulizee swali nitajie nyimbo mbili za rayvany na tafuta nyimbo mbili za dula makabila halafu ndo utapata jibu kwamba Nani nyumba singeli na Nani nyumba bongo flava
Upo sahihi Sana mkuu dogo mfaume Hana mpinzaniSikuhizi kuna miziki kwani?
Mziki ulikua zamani bwana,Dogo mfaume na kinanda wale wazee wa mchiliku aisee.
kuna jide na bibie Stara Thomas.
Ngoja nitafute mkuuKasome articles za webiro WAKAZI utapata kitu
Tuna serikali ya hovyo sana kila kitu kinaingiziwa na siasa tutafika mbinguni tumechoka sanaZile tuzo naziona kama maandalizi ya kampeni za mwakani 2025, CCM wamewafurahisha wasanii wao watakaowatumia kwenye kampeni.
Brow hizo NI TUZO mtambuka mpaka naibu waziri bwana mwinjuma alikuwepoTumeshasema hizo hazikuwa Tuzo
Walikuwa wanagawana ili kila aliyeimba kwenye mikutano ya viongozi apateBrow hizo NI TUZO mtambuka mpaka naibu waziri bwana mwinjuma alikuwepo
Mambo ya Grammy awardsHIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Hizi zawadi zimetolewa hapa hapa Tz au walienda kwanza USA?Zile tuzo naziona kama maandalizi ya kampeni za mwakani 2025, CCM wamewafurahisha wasanii wao watakaowatumia kwenye kampeni.
Na pale kubwa utasikia kabla ya neno au kutoa tuzo lazma waseme mama anaupiga mwingi yaani ndo Kama mdhamini mkuuHilo ni tamasha la kizimkazi
Upo sahihi mkuu tuna viongozi wa hovyo sana cjui wakitumia kigezo gani kuto tuzo hyo ambayo inamuhusu msanni wa singeli anapewa mbana puaWalikuwa wanagawana ili kila aliyeimba kwenye mikutano ya viongozi apate
Jopo la kuchagua na vigezo vyao ni vilevile, ku single out wimbo mmoja wa msanii mmoja nadhani una grudges binafsi na msanii husika otherwise ulalamikie mtiririko mzima(system) na chaguzi zao zote.HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa