Maajabu ya mwaka msanii wa bongofava Rayvany kushinda tuzo ya nyimbo bora ya singeli ya mwaka mbele ya Dula Makabila na magwiji wengine wa singeli

Maajabu ya mwaka msanii wa bongofava Rayvany kushinda tuzo ya nyimbo bora ya singeli ya mwaka mbele ya Dula Makabila na magwiji wengine wa singeli

HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Kwa hiyo bado unaamini kwamba kwenye mchuano ya Olympic medali zote za saralasi na Kungufu na Karate huwa zinachukuliwa na washiriki kutoka China?
 
Kwa hiyo bado unaamini kwamba kwenye mchuano ya Olympic medali zote za saralasi na Kungufu na Karate huwa zinachukuliwa na washiriki kutoka China?
Ninachoamini Mimi mkuu medali ya sarakasi atakabidhiwa mruka sarakasi sio medali ya sarakasi apewe Mr apewe mruka judo kwa kuwa na yeye alishawahi kuruka mwezi ulopita nadhani umenielewa nilickuwa nazungumza

Kongole ccm
 
HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Diddy did it again.
 
Hata Eminem anashindaga tuzo mbele ya Mablack wanajitapa Hip Hop ya kwao.
Brow umetoa mfano mzuri itakuwa vizur uufikirie ntakvyo kujibu Ila samahani ntakujibu kwa swali

Eminene anshindaga tuzo mbele ya mablack wanaojitapa hip hop ya kwao hata mie NI fans wa Eminem lakini huyu eminem akatoa nyimbo ya pop moja halafu akshinda tuzo ya pop mbele ya malegend wote wa pop we inkuingia akilini


Na maanisha Eminem utamuona anchukua tuzo za hip hop hutasikia kshindo tuzo ya rnb cjui hapo umenipta
 
Tatizo nililoliona kwenye tuzo hizi wamefanya horizontal ili kila mmoja apate na hivyo kupunguza radha ya hizi tuzo.. unakuta msanii anapata tuzo ya kuwa msanii bora.. lkn Wimbo uliomfanya aonekane kuwa barua umeshindwa na Wimbo mwingne. Ni tuzo za kijinga sizizo na maana kutokana na hulka ya kuangalia majina na kubalansi. Dats why unakuta harmo,diamond, Ali, vanny, Mario wote wamepata tuzo lkn jux ambaye Wimbo wake mwaka jna umekuwa bora.. ulishinda category moja tu eti Wimbo bora wa kushirikina...
 
HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Hii ndio Tanzania😂😂😂😂😂😂😂
 
HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Industry ya music ina mambo mengi nyuma ya pazia. Si mlisikia bila kumwona didy hushindi grammy? Sasa na huko nako chinguzeni vizuri.
 
Mbona hamshangai Diamond kushinda tuzo ya muziki wa dansi mbele ya magwiji wa dansi kama Chstian Bella, Twanga Pepeta, SIKINDE ORIGINAL na wengine?
 
Back
Top Bottom