INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
- Thread starter
- #21
Kuzimkazi festival🤣🤣🤣🤣🤣Hilo ni tamasha la kizimkazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzimkazi festival🤣🤣🤣🤣🤣Hilo ni tamasha la kizimkazi
Kwani zilikuwa CCM awards?Zile tuzo naziona kama maandalizi ya kampeni za mwakani 2025, CCM wamewafurahisha wasanii wao watakaowatumia kwenye kampeni.
Mama anaupiga mwingiWalikuwa wanagawana ili kila aliyeimba kwenye mikutano ya viongozi apate
Zilikuwa kuzimkazi awardKwani zilikuwa CCM awards?
Mhhh wakazi hawezi jihusisha na tuzoo za hovyo mkuuMwakani msanii WAKAZI atachukua tuzo ya msanii bora wa Taarab.
Basi muache kulalamika.Zilikuwa kuzimkazi award
Ukweli NI mchungu lakini tutapaza sauti hata wasiojulikana wakiniteaka nishasema😁😁Basi muache kulalamika.
Kwa hiyo bado unaamini kwamba kwenye mchuano ya Olympic medali zote za saralasi na Kungufu na Karate huwa zinachukuliwa na washiriki kutoka China?HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Ninachoamini Mimi mkuu medali ya sarakasi atakabidhiwa mruka sarakasi sio medali ya sarakasi apewe Mr apewe mruka judo kwa kuwa na yeye alishawahi kuruka mwezi ulopita nadhani umenielewa nilickuwa nazungumzaKwa hiyo bado unaamini kwamba kwenye mchuano ya Olympic medali zote za saralasi na Kungufu na Karate huwa zinachukuliwa na washiriki kutoka China?
Diddy did it again.HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Brow umetoa mfano mzuri itakuwa vizur uufikirie ntakvyo kujibu Ila samahani ntakujibu kwa swaliHata Eminem anashindaga tuzo mbele ya Mablack wanajitapa Hip Hop ya kwao.
Hii ndio Tanzania😂😂😂😂😂😂😂HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa
Mbinguni mkafanye ni I...Dunia yenyewe kuitumia vizuri mmeshindwa ndio muende mbinguni🤣🤣🤣🤣Tuna serikali ya hovyo sana kila kitu kinaingiziwa na siasa tutafika mbinguni tumechoka sana
Hilo nalo nenoMbinguni mkafanye ni I...Dunia yenyewe kuitumia vizuri mmeshindwa ndio muende mbinguni🤣🤣🤣🤣
Nyie ni wa motoni tuu
Industry ya music ina mambo mengi nyuma ya pazia. Si mlisikia bila kumwona didy hushindi grammy? Sasa na huko nako chinguzeni vizuri.HIVI wataalamu. Wa tasnia ya muziki hii imekaaje kijana wetu RAYVANY (vany boy) ameshinda TUZO ya nyimbo Bora ya mwaka ya singeli inamaana Rayvany NI bora kuliko hawa wasinii weetu waliojikita katika ulimwengu wa singeli kama sio hujuma NI kitu gani ukiuliza utaambiwa mama anaupiga mwingi jaman tuwape motisha vijana wetu wazidi kupeperusha bebdera ya singeli vizuri hii nchi NI ya hovyo sana imeoza kabisa