Maajabu ya mwanamke yaliyowashinda hata wanafalsafa kuelewa

Maajabu ya mwanamke yaliyowashinda hata wanafalsafa kuelewa

tapatalk_1532750421960.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeisoma nikiwa nimetulia sana na yote yanayosemwa ni ya kweli tupu na ndiyo maana nimeona baadhi ya wanawake humu wamekasirika na hawapendi kuona tunajifunza mambo haya.
Shukrani Kwa mleta mada maana Mimi sikuwahi kuisoma natafuta namna ya Ku save.
 
Mwanamke ni kiumbe ambae unaweza hata Kumla Kijambio chake kwa kumuahidi ndoa kwa maneno tu.
 
Naomba msipanick walimu,[emoji1373]

Ukinipinga pinga kwa hoja.

Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja suala la wanawake lazima atoke kapa na (ndio maana haieleweki hata kama akioa). Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza fanya bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!. Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angaalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra.

Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6, mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi.

Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5.

Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!.

Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!.

Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu!

Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine.

Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake!

Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!.

Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke!

Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!.

Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako.

Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!.

Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu.

Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... [emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]


Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine
[emoji28][emoji102] *Mniache tuu*[emoji2439]

Sent using Jamii Forums mobile app
ukweli mtupu😐
 
Kuna mke wa mtu hapa yupo kwenye ndoa zaidi ya miaka 10, na ni mwimbaji wa makanisa ya kiroho na ana nguvu ya Mungu kweli,
Miezi minne imepita kaletewa maua na mchungaji wa kanisa lingine, ninayoyashuhudia sasa hivi siamini yaan wana mpango wa kuoana eti, (niliona chatting zao kwa simu ya ke).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mke wa mtu hapa yupo kwenye ndoa zaidi ya miaka 10, na ni mwimbaji wa makanisa ya kiroho na ana nguvu ya Mungu kweli,
Miezi minne imepita kaletewa maua na mchungaji wa kanisa lingine, ninayoyashuhudia sasa hivi siamini yaan wana mpango wa kuoana eti, (niliona chatting zao kwa simu ya ke).

Sent using Jamii Forums mobile app


Haya mambo hayanaga waimba gospo wala nn..basi tu kwakweli....hahaa kwamba yuko ndoani anapanga kuolewa tena😂😂
 
Yaani alivyokua mcha Mungu na ana nguvu za Mungu sana akiongoza ibada ya kuabudu, sikuamini niliyoyaona, kisa maua tu!!


Sent using Jamii Forums mobile app


Ndo tunarudi kule kule...sie ni viumbe dhaifu...na ukute mmewe hajawah ht mletea kizawadi ht kdg...wapo busy for nuthng...!
kuna kipindi rafiki angu 1 alinitmia zawadi Abood..yy aliiona ndg..jaman ule mfuko aloandika jina langu na namba mpk leo ninao😂😂😂 its 2yrs nw...!nilikua nauweka kila pahala nikiuona hv dah😛😛...!mbadilike
 
Ndo tunarudi kule kule...sie ni viumbe dhaifu...na ukute mmewe hajawah ht mletea kizawadi ht kdg...wapo busy for nuthng...!
kuna kipindi rafiki angu 1 alinitmia zawadi Abood..yy aliiona ndg..jaman ule mfuko aloandika jina langu na namba mpk leo ninao[emoji23][emoji23][emoji23] its 2yrs nw...!nilikua nauweka kila pahala nikiuona hv dah[emoji14][emoji14]...!mbadilike
Jamaa ana ela sema umri wamepishana sanaaa,
Kamfungulia maduka mawili kkoo, wana watoto wa3 na gari za kutembelea zipo, basi tu tamaa kasahau yote hayo.

Kwa hii tredi na tabia ya huyu dada, naona dalili ya miaka 5 mbeleni ntaacha mke na siishi na mwanamke yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya kitu,mtu kiumbe ambacho hakiwezi kunishinda hapa chini ya jua ni pamoja na mwanamke,ni mama yangu tu pekee ndiyo naweza kushindwa kumuongoza kwa sababu ni mzazi kwangu ambaye na yeye hawezi mpelekesha baba iwapo baba anajitambu.kwanza mimi kumuacha mwanamke keepleft barabarani na kuondoka na mwingine ni kitu cha kawaida kabisa kwangu,achana na mengine niwezayo.

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
We umeoa ao labda unaongelea mambo ya friendship girlfriend na boyfriend!?
 
Nina mke na watoto mwaka wa kumi na moja sasa,ulitaka kusemaje labda?
We umeoa ao labda unaongelea mambo ya friendship girlfriend na boyfriend!?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Nina mke na watoto mwaka wa kumi na moja sasa,ulitaka kusemaje labda?

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Nacho kusudia ni kwamba ,,wanawak wakorofi kinoma boss na ukiwa na hiyo ideology ya kwamba akisumbua una mu keep left unaondoka na mwingine utakuta umemaliza wanawake wa duniani woote kwa kuwaoa!!
 
Naomba msipanick walimu,[emoji1373]

Ukinipinga pinga kwa hoja.

Wanawake ni binadamu wa ajabu sana katika uso huu wa Dunia yaani hawa watu ni next level, kuwaelewa ni ishu iliyowashinda hata wana falsafa, Newton na uwezo wake wote linapokuja suala la wanawake lazima atoke kapa na (ndio maana haieleweki hata kama akioa). Manabii na busara zao zote walishindwa kuwaelewa wakaishia kushauri ya kwamba tuishi nao kwa akili. Sasa najiuliza ni jambo gani unaweza fanya bila kutumia akili?, hapa ndipo napata ushahidi kwamba kumbe wanawake walishindikana tangu zama za mwanzo kabisa!. Wanasaikolojia wanasema kuwa kama utamuoa/kuishi na mwanamke mwenye miaka 25 basi itakuchukua miaka 25 mingine kumuelewa huyo mwanamke angaalau kwa 90% maana hawa kila siku hubadilika na kuwa wapya kimatendo na kifikra.

Mwanamke unaweza mnunulia BMW X6 akatoka nayo kwenda kutembea, akiwa njiani akaombwa lift na kijana akampa akipitia sheli hela ya mafuta ikawa haitoshi, yule kijana akaamua kumuongeza ata elfu 20 basi mwanamke huweza kubadili mawazo na kumuona yule kijana ni bora kisa tu kachangia mafuta kuliko wewe uliyenunua BMW X6, mfano akitoka hapo akapitia supermarket kununua bidhaa labda akapungukiwa kiasi mfano anadaiwa elfu 20, na yule kijana akasema hiyo ntalipa mimi basi basi hapo atasahau zile zawadi zote huwa unambebea na hiyo elfu 20 inaweza kumfanya awaze kumtunuku yule kijana penzi.

Mwanamke unaweza mpa hela akanunue nyama kilo 5 buchani, mwenye bucha akimuongeza robo tu hilo litamfurahisha kiasi kwamba anaweza kumpa mwenye bucha penzi na akusahau wewe ulieyota hela ya nyama kilo 5.

Mwanamke unaweza kumnunulia nguo, weaving, mafuta, perfume na urembo mzuri akavutia ila akipita mtaani akasifiwa na mwanaume kuwa kapendeza inaweza kuwa chanzo cha kumtunuku penzi na akakusahu wewe uliyegharamika na kufanya asifiwe!.

Mwanamke unaweza kumpa mimba na ukamhudumia mwanzo mwisho na familia ukalea kwa juhudi zako zote ila siku mkikosana anakwambia niache na watoto wangu, apo ashasahau kuwa wewe ndiye uliyempa mimba na kumlea yeye na watoto!.

Mchukue rafiki yako mwende bar, wewe uwe na laki 5 na yeye awe na elfu 30 kisha mkae meza moja na muagize unywaji, wewe agiza soda na yeye aagize bia. halafu baada ya nusu saa iteni warembo utaona wewe na laki 5 yako unapitwa tu ila yeye mwenye slfu 30 anaibuka kidedea kisa kaweza kumudu gharama ya bia, Hao ndio wanawake ndugu!

Mwanamke ndiye kiumbe pekee anayeweza kukupenda bila sababu ama kukuchukia bila sababu tofauti na viumbe wengine.

Mwanamke ndiye mwigizaji mkubwa ulimwenguni, anaweza kulia kwa furaha na akacheka kwa huzuni, bado hujawajua tu wanawake!

Mwanamke akisema ndio humaanisha hapana, na akisema hapana humaanisha ndio, pia anaweza kucheka bila kujua sababu lakini pia anaweza kulia pasipo sababu ya msingi ya kumfanya alie, hivyo chunga sana usijejichanganya!.

Mwanamke hupendi vutu vigumu na vyenye hatari mfano wanaume wenye nguvu, mlevi, muhuni (playboy), jambazi, mgomvi anayeogopwa hata na wanaume wenzie ila ukimuuliza anakuambia mie napenda kuwa na mwanaume mpole mwenye hofu ya Mungu tifauti na sisi wanaume tunavyopenda vitu vipole na vinyenyekevu na vyenye ukarimu, sasa wewe jifanye kumuamini mwanamke!

Jinsi unavyozidi kumpenda na kumthibutishia upendo wa dhati ndivyo unavyozidi kujiweka mbali nayeye, mwanamke hupenda migogoro isiyo na maana, ukijua hili ndoa haitokusumbua. Mwanamke hupendi utulivu kamwe!, usipomchokoa atakuchokoa tuu na usipomuendesha lazima akuendeshe yeye, Hawa viumbe hawana hiyana aisee!.

Mwanamke hupendi vitu vikubwa wala vidogo, kiufupi hana chaguo maalumu. Ukimnunulia gari sio garantii ya yeye kutulia nawewe bali anaweza kukusaliti hata na muosha gari wako. Ukimjengea nyumba nzuri na kumuwekea kila kitu sio njia ya kumteka kimahaba kwani anaweza kumtunuku penzi ata mtunza bustani wa nyumba yako.

Mwanamke hapendi ukweli, Ukimpa ukweli akija mwenye uongo basi we andika maumivu. Unaweza kuwa na elfu 50 ukamueleza ukweli kuwa "mke wangu leo hali mbaya chukua hii elfu 30,"... akatokea jamaa akamuongopea kuwa "Chukua hii elfu 15 ngoja nimesahau ATM card yangu nyumbani ikifuka saa 10 jioni ntakutumia laki 2 kwenye simu", Usishangae mkeo akakusaliti hata kabla ya hiyo saa 10 na iyo laki 2 asiione katu!.

Unamuoa hana ishu akiwa kwao amekaa tu, unaamua kumfungulia biashara hata ya duka unamjazia kila kitu. anatokea mshikaji mmoja kumuunga pale dukani kila siku na kumuachia soda tu na hicho kinakuwa kigezo tosha cha kuona mshikaji anamjali kwa kumuachia ya soda kila siku kuliko wewe uliyemfungulia duka zima na kinachofuata ni usaliti tu.

Yapo mengi mno kuliko hayo ila kwa leo naishia hapo... [emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]


Wamekuwa viumbe walioshindikana kwa Maana nyingine
[emoji28][emoji102] *Mniache tuu*[emoji2439]

Sent using Jamii Forums mobile app
kazi yako wewe ni kuishi nao kwa akili yote uliyoyasema hapo juu ni ukweli mtupu ila sasa ndio hakuna namna yaaan mda mwingine tunafanya mambo mpaka wenyewe tunabaki tunajishangaa kwa mfano mimi mwenyewe kuna jambo nimemfanyia mume wangu niko nasoma hii thread nimajikuta mtu ovyo kabisa sijui hata kwa nini nimefanya hivyo
 
Nacho kusudia ni kwamba ,,wanawak wakorofi kinoma boss na ukiwa na hiyo ideology ya kwamba akisumbua una mu keep left unaondoka na mwingine utakuta umemaliza wanawake wa duniani woote kwa kuwaoa!!
Sibadilishi wanawake,niliye naye ni huyo huyo na shule yake ndefu lakini alishanyoosha mikono,kawa mpole.naposema kumuacha keepleft ni pale akitokea kuleta usumbufu wowote ule wa maudhi au kukosa uaminifu.

Mwanaume lazima uwe Mwanaume wa kweli na inawezekana.mimi ni Mwanaume wa Kisukuma wa kweli na si wa kuchovya.muelewe ya kwamba wanawake hua wanapima madhaifu ya wanaume,unakuta Mwanaume kapata msukosuko ofisini au eneo lolote la kazi na anarudi nyumbani kwa mkewe analilia kama litoto,mwaume mwingine habebi majukumu kama mwanaume,muoga muoga tu..

unadhani Mwanaume ukiwa hivyo mwanamke si atacheza na akili yako?na usipokua makini anakushinda na unamuacha. Mwanaume gani mpaka ushindwe kujisimamia?lakini nakuambieni hayupo mwanamke anayeweza mshinda Mwanaume iwapo wanaume wataishi kwa kubeba uhalisia.

Narudia tena, mimi mke wangu ananizidi shule kwa maana ya madarasa kama ni umbali ni kutoka hapa Mwanza to Singida, lakini nilishamvuruga akili hana hamu. Hakipo anachofanya kwenye maisha yetu juu ya maendeleo isipokua mimi mwenyewe tu na anapata anachotaka, kiufupi anaishi na Commando na anajua hilo

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Back
Top Bottom