Maajabu ya nafasi za kazi UDOM... Kuna nini hapa?

Maajabu ya nafasi za kazi UDOM... Kuna nini hapa?

Kaka umemwaga data tu ujatoa analysis na kuleta info yoyote ya maana! Heb kwa hizo data leta tatizo tujue ni nn?I mean elezea ulikua unataka kutujulisha nn na izo namba zako

Tumia akili wewe, ukishapata data you can easily foretell what the data imply. use your fore brain before asking these trivial stuff. What is it that you don't understand from the data? You are selling a dummy to your brain
 
kwanza kabisa nawapa pole wote waliofika udom kufanya interview Mungu awasaidie
 
we unashangazwa na hizi.
Hapa ofisini kwetu zikitangazwa nafasi za kazi japo huwa hutuspecify number of vacancies
huwa tunapata applications zaidi ya elfu tatu for one position.

Ila Majuzi kuna moja haikupata application hata mmoja.

very contradicting.

Cha msingi ni kwamba sio wote wanaoomba hawanakazi kabisa
wengine wanatafuta much green pastures.
 
utafkiri tulikuwa kwenye foleni ya babu wa Loliondo tunasubiri kikombe!! Yani tatzo la ajira linauma kama msiba usiosahaulika...
 
Sio wote walioomba hawana ajira. Wengine wanahama kutafuta maslahi zaidi na wengine ni hulka yao kutuma maombi kujitazama kama wanakubalika. Ni sawa na watani zangu waha, huwa wanatongoza wanawake tu bila kuwataka ili mradi waone kama miguu yao iliyoliwa na funza inakubalika au lah!

Ukiitwa usiache kwenda
 
Mimi nina rafiki yangu alituma maombi hapo UDOM kwenye nafasi ya Administrative officer,nilipoona haya majina nikagundua kuwa hizi ni siasa,nimemwambia asije tu maana anapoteza muda wake,hapo kuna udini na watu wanapeana kazi kwa ground za kidini sana...hiki kitu kinaniuma sana basi tu,watu watapoteza pesa zao kwa kitu ambacho hawatafanikiwa kabisa...kumbuka hapo kila mkubwa ana watu wake kama watano hivi...sasa wewe mkulima kama mimi utapigana kweli?

Udini upi sasa..,maana kama hautumii masaburi kufikiri na unafanya research utagundua total number ya stafff wakristo ni wengi kuliko waislam hapo udom..,watanzania mbona tunashabikia udini bila sababu ya msingi?
 
Back
Top Bottom