Maajabu ya ndoa: Pasipo ndoa kuna tendo ila palipo na ndoa hakuna tendo

Maajabu ya ndoa: Pasipo ndoa kuna tendo ila palipo na ndoa hakuna tendo

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakati bado hamjaoana yani wenyewe ile wanaita 'mnachunguzana' huku mara moja moja mnakutana uwanja nyutro kufanya yenu, hapo mkikutana lazima kiwake sana mta.ti.ana kutwa kucha hadi m.b0..0 inataka kunasia ukouko.

Hadi mzee unasema yes hiki ndo chuma sasa ngoja nijimilikishe nitwae mazima niweze ndani. Lahaulah hapo ujue imekula kwako.

Maana hapo sasa ndo sarakasi manyokanyoka na visingizio visivyoisha vinapoanza. Si ajabu kuyaskia baadhi ya maneno kama haya hapa
  • leo mm siko kwenye mood
  • nipo kwene siku zangu
  • npishe, nimechoka mie[hapa anabetua mdomo juu kabisa]
  • leo sijisikii tu

Unakuja kutahamaki mwezi umekata mzee hujapata tendo hata mara moja licha ya kujiliza kila uchwao.

daah 😯😯

hawa kataa ndoa wana matatizo yao lakini kwa upuuzi huu s'tyms kama unawaelewa flani hivi hata kama ni kimoyomoyo
 
Wakati bado hamjaoana yani wenyewe ile wanaita 'mnachunguzana' huku mara moja moja mnakutana uwanja nyutro kufanya yenu, hapo mkikutana lazima kiwake sana mta.ti.ana kutwa kucha hadi m.b0..0 inataka kunasia ukouko.

Hadi mzee unasema yes hiki ndo chuma sasa ngoja nijimilikishe nitwae mazima niweze ndani. Lahaulah hapo ujue imekula kwako.

Maana hapo sasa ndo sarakasi manyokanyoka na visingizio visivyoisha vinapoanza. Si ajabu kuyaskia baadhi ya maneno kama haya hapa
  • leo mm siko kwenye mood
  • nipo kwene siku zangu
  • npishe, nimechoka mie[hapa anabetua mdomo juu kabisa]
  • leo sijisikii tu

Unakuja kutahamaki mwezi umekata mzee hujapata tendo hata mara moja licha ya kujiliza kila uchwao.

daah 😯😯

hawa kataa ndoa wana matatizo yao lakini kwa upuuzi huu s'tyms kama unawaelewa flani hivi hata kama ni kimoyomoyo
Ukiona hivyo ujue Kuna mtu anapewa, na wewe jiongeze tafuta kamchepuko.
Nikupe Siri ndoa Nyingi zenye furaha Zina wazamini njee.
 
Wakati bado hamjaoana yani wenyewe ile wanaita 'mnachunguzana' huku mara moja moja mnakutana uwanja nyutro kufanya yenu, hapo mkikutana lazima kiwake sana mta.ti.ana kutwa kucha hadi m.b0..0 inataka kunasia ukouko.

Hadi mzee unasema yes hiki ndo chuma sasa ngoja nijimilikishe nitwae mazima niweze ndani. Lahaulah hapo ujue imekula kwako.

Maana hapo sasa ndo sarakasi manyokanyoka na visingizio visivyoisha vinapoanza. Si ajabu kuyaskia baadhi ya maneno kama haya hapa
  • leo mm siko kwenye mood
  • nipo kwene siku zangu
  • npishe, nimechoka mie[hapa anabetua mdomo juu kabisa]
  • leo sijisikii tu

Unakuja kutahamaki mwezi umekata mzee hujapata tendo hata mara moja licha ya kujiliza kila uchwao.

daah 😯😯

hawa kataa ndoa wana matatizo yao lakini kwa upuuzi huu s'tyms kama unawaelewa flani hivi hata kama ni kimoyomoyo
Muwe mnabadilisha hata na mazingira angalau mara mbili kwa mwezi, sio kila siku hapo hapo tu, It's boring.

Toka zako job tafuta location fulani mtumie nauli kama ambavyo ulikua unafanya kipindi alipokua mchumba wako akifika hapo kuleni, kunyweni chukua chumba nenda mshike mkono ingia nae funga mlango then asubuhi ukiamka tuandikie uzi utuambie kama alisema kachoka au hajiskii ili tukupe mbinu ya namna ya kumkamata huyo jamaa anaempa huo uchovu mkeo hapo mtaani kwenu 😅😅.

Halafu why lawama nyingi za kwenye ndoa huwa zinaangukia kwenye kipengele hiki? Kwani ndoa ni tendo tu?
 
Back
Top Bottom