Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mpwa mi sina kisukari na Kwa Jina la YESU sitakaa niiugue kisukari
Na ukitaka usipone kisukari basi endelea kunywa soda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukitaka usipone kisukari basi endelea kunywa soda.
Mpwa mi sina kisukari na Kwa Jina la YESU sitakaa niiugue kisukari
Coca ina kiwango fulani cha cocaine!!Haha nineipenda hiyoo ila niliwahi kutana na picha ya abstract ktk maandishi ya cocacola pana watu wawili wanavuta unga hapo ktk hayo maandiashi...najua nitadaiwa picha...na wadau...narudi nayo.
Kwani tumboni kuna mifupa na misumari? Ungesema labda mtu anawe miguu na mikono kwa pepsi akipata madhara kwenye ngozi au kwenye nyama ndio uwe na haki ya kutoa conclusion, sasa mifupa na misumari wapi na wapi ..!!Pepsi ni jina la kinywaji aina ya soda ila uki tulia kwa makini na ukalifanyia utafiti wa jina hilo linatisha vibaya.
Nilicho gundua mimi katika pepsi ni maneno tofauti na awali.
siku moja nili kuwa nakunywa soda aina ya pepsi huku nina mawazo tele kichwani nikaanza kuigeuza chupa chini juu na kusoma nika pata maana, nikaigeuza wima na kusoma kiarabu na yenyewe ipo maana.nika soma kwa namba ipo maana zaidi ya moja.
CHEKI hapo chini.
Pepsi =is ded
pepsi= is 666
pepsi=12969
jamani pepsi ni hatari kwa afya zetu.
mfano chukua mfupa wa kuku ingiza kwenye pepsi wacha masaa 24, kisha rudi kautazame kama uta ukuta.Au tia msumari ktk pepsi acha saa 24 halafu kaangalie katika chupa kama uto kuta kutu.
Jamani ni kifo hicho kwenye soda
pepsi=is pep