Punguza utundu....!
Looh wanaume watu wa ajabu sana....
Yaani nakuruhusu uende kwa mchepuko ukapige morning glory tani yako hutaki bado uafikiria kunibaka......
Wallah sikubali, ntaamka navaa bukta skin tite pajama chupi na kanyela mumo juu kisha narudi kitandani kulala najifunika gubigubi na blanketi.
Na ukinizidi nguvu ntalia kilio hichoo mwenyewe utanionea huruma... Eehehehehehheee
K' Matata.
Huyo jamaa atakuwa anaufanisi mkubwa sana knife maana hana stress kbs sie wengine tunamalizage zetu huko huko maofisi ni maana nyumbani signal hazishikikbs u kimgusa ni kipepsi tu
Habari zenu wakuu, natumai hamjambo.
After sex akili huwa na utulivu wa pekee sana...hivyo najiuliza hali hii hutokea kwangu pekee, au hutokea kwa wengine pia?
TUJUZANE WAKUU.
Huduma hizi inabidi utupatie na sisi akiewa kzn napita apo chap nakupa game la kibabe haaaaaa
Itakuwa unakunwa vilivyo
Ukija karatu nitafuatilia japo nikuchomee nyama tuSiuzi mimi wala sitoi buree
Naibana bana inaliwa na Dadiiii....
Wakati unavaa hayo manguo yoooote mi nakuwa nimefungwa mikono au[emoji848][emoji848]
Mchepuko unanihusuAahahahahhaaaa wee Alvin weewee... eeheheheehheee
Nakata picha mie naivaa skin tite wewe unanivua, navaa chupi inaishusha aahahahahaa navaa Kabyles mumo unaivua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa ukiwa unafanya yote haya kusema huna mchepukoo au unataka tuu nisilale usingizi wangu wa asubuhi? Hivii nyie wanaume hamjuagi utamu wa usingizi wa kuanzia saa kumi alfajiri hadi saa kumi na moja.... mngr Juma morning glory sex mngeishia usiku tuu na kuhamishia evening sex...
Asubuhi tukumbatiane tuu kumalizia usingizi sio kuanza kukwichikwichi 😅😅😅😅
Ikibidiii saanaaa yaani hadi mtu ajue udhaifu wangu ulipo, ntajikuta tuu namiachia apige morning glory laah sivyo sitalala na yeye hatapiga tutasumbuana hadi panakucha na mie ntakuwa nimemuna maana sijamalizia usingizi wangu 🤣🤣🤣🤣🤣
Matata K
Ukija karatu nitafuatilia japo nikuchomee nyama tu
Ukija karatu nitafuatilia japo nikuchomee nyama tu
Heeley kuwa wataka upike wote ambaye unataka hoteli siku hiyo tuwe sisi wawili tu au tujichanganye na watasha maana huko kuna mchimba a hatariWoow, japo si mpenzi sana wa nyama choma ila kwa maneno yako umenipa hamasa ya kuja Karatu. Niembie siku unazokuwa na nafasi napenda nione tangu unaandaa nyama, unaichoma mpaka inaiva tunakula wote. Mie ntapita sokoni nije na mazagazaga ya kachumbari kisha ntatengeneza kachumbari ya kutosha na ntakuja na wine 🍷 red sweet one, kama hutatumia hiyo uandae kinywaji chako.
Ila isiwe kipindi cha mvua tafadhali sipendi matope na ubovu wa barabara nachoka kukanyaga clutch kubadili gia.
Matata K.
Mchepuko unanihusu
HAPO sasa umenipata nakuchanganyia madikodiko kisha kishi namarinate nyama ya kondo jike au nyama pori Utachagua mwenyewe.... nabook chumba kinachoangalia kwenye viewKumbe wataka tupike wote ngoja nitafute chimbo la watu wachache au sisi wawili tu na mfanyakzi mmoja maana huko kuna mchimba a hatari
Heeley kuwa wataka upike wote ambaye unataka hoteli siku hiyo tuwe sisi wawili tu au tujichanganye na watasha maana huko kuna mchimba a hatari
Naenda kwa mlima wa moto kwa mamaLwakatare ntakuja na msaidizi wako yeye morning glory we evening sessionKwa upande wangu kuliko morning glory, nenda tuu kwa mchepuko.
K’ Matata.
Pole kuna KASIMU hapa kanani changanyaSijakuelewa naomba uandike tena unieleweshe....
Naenda kwa mlima wa moto kwa mamaLwakatare ntakuja na msaidizi wako yeye morning glory we evening session
Pole kuna KASIMU hapa kanani changanya
Uwa unanifurahisha sana mpendwa 😘Huwa sipendi sex ya alfajiri, ile wanaume huwa wanasimishaa halafu wasipopata wanaumiaaa ndo wanaanza kukatiza wenzao usingizi....
Raha usingizi uishe uamke uoge, upige mswaki upate stafutahi shuka la usiku nshalibadili kitanda kisafiii madirisha wazi hewa inaingia na mwanga wa kutosha, hapo ntakupa machejo yoteee hadi saa tano asubuhi.... Utacheua hadi ulivyokula juzi, mtondo na mtondogoo aahahahahahaa
K' Mahaba Matata.