Aahahahahaa ati ukigusa tuu kipensi, sasa acha nikwambie kuna kitu hakiko sawa, ukikuta kipensi kitandani na hukumbuki kuwa na ugomvi wowote na hata kama unakumbuka.... msogelee ndani ya shuka anza kujiongelesha kwa sauti ya Mahaba (waweza imba wimbo wa mapenzi au wa kilugha au kuongea kitu cha utani chenye kufurahisha kitachomfanya atabasamu) huku ukiwa unamtomasa tomasa na kumpapasa polepole sehemu zingine za mwili wake, ukiona signal zinaanzankushika unaanza kumbusu maeneo ya shingoni shavuni shuka kifuani......
Halafu tafuta kumtizama usoni kwa macho ya huba hata kama kuna giza utaziona tuu mboni zake, kumbuka usitumie nguvu wala mabavu na usijarakishe kuchomeka mtulinga...
Ujiongeze kutumia sanaa ya Mahaba kiasi kwamba ukishusha kibukta ananyanyuka juu ishuke na hapo unatawala jukwaa utakavyo ila usicheue hadi yeye anyooshe mikono juu kuwa sasa basi na unaona kwenye macho yake kuwa yuko hooii hapo sasa mwaga nawe ulale usingizi mnonoo...
Kila la kheri.
K’ Mahaba Matata.