brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mshambuliaji mpya wa Simba, Papaa Niang jana alicheza dakika 45 mechi dhidi ya Mwadui FC na kuweka record ya aina yake, mchezaji huyo alifanikiwa kupiga cross moja tu, hakupiga shuti hata moja iwe off target wala on target.
Alikuwa anaogopa kukaa na mpira hata sekunde tano wakati yeye ni mshambuliaji wa mwisho. Kwakweli ni mara 100 kubaki na Maguli kuliko huyu Msenegal wa bei chee, hii ni oil chafu kutoka Senegal (Nape's voice).
Viongozi wa Simba mnaipeleka timu shimoni!
Alikuwa anaogopa kukaa na mpira hata sekunde tano wakati yeye ni mshambuliaji wa mwisho. Kwakweli ni mara 100 kubaki na Maguli kuliko huyu Msenegal wa bei chee, hii ni oil chafu kutoka Senegal (Nape's voice).
Viongozi wa Simba mnaipeleka timu shimoni!