Maajabu ya serikali ya CCM: Spika wa Bunge ana kinga na hashtakiwi, Wabunge wanatunga sheria lakini hawalipi kodi!

Hawa Wabunge wapuuzi kweli kweli...halafu yuko mwendakuzimu moja aliamua kuligeuza bunge kuwa tawi la CCM na ya kumkuta yakamkuta! Kendakuzimu na kayaacha haya mavilaza...
Your browser is not able to display this video.


Nawaomba Watanzania wazalendo wenye uchungu wa kweli na taifa letu taifa letu, popote walipo na kwa nafasi walizo nazo hili bunge lipigwe vita kwa silaha zote wakati tukipigania Katiba mpya. Mwokozi wetu ni Katiba tu hakuna njia ya mkato.

 
Kwa kweli hili bunge linatia aibu...CCM imeligeuza bunge badala ya kuwa mtetezi wa wananchi, linatumika kukomoa wananchi!
 
Vipi mshahara akiwa waziri, allowances za mawasiliano, malazi, bima ya afya na matengenezo ya magari?
 
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
 
Vipi mshahara akiwa waziri, allowances za mawasiliano, malazi, bima ya afya na matengenezo ya magari?
Adui namba wani wa taifa hili ni hili genge la vilazi, CCM! Bunge la wahuni ni zao la chama cha wahuni, CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…