Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Mungu hapendi uonezi. Yaan nyinyi wakati huo mnapoint 4 mnawasema wenzenu wa pwent 9 wasifuzu ila nyie mfuzu. ππMaajabu mwenye point 9 atabaki Nazo hadi mwisho na ataishia hatua ya makundi
Yanga atafuzu kibabe
Mpira umeishaMungu hapendi uonezi. Yaan nyinyi wakati huo mnapoint 4 mnawasema wenzenu wa pwent 9 wasifuzu ila nyie mfuzu. ππ
Labda atafuzu kibabe kunywa supu.Maajabu mwenye point 9 atabaki Nazo hadi mwisho na ataishia hatua ya makundi
Yanga atafuzu kibabe
Tulia mremboLabda atafuzu kibabe kunywa supu.
Hyi u babe wake mwisho vingunguti. Kwenye machinjio ya supu.
Mkuu, sikuoni hapa kwenye foleni ya SUPU MAALUM ya kusherehekea kufuzu ΒΌ fainali ya CCL!Maajabu mwenye point 9 atabaki Nazo hadi mwisho na ataishia hatua ya makundi
Yanga atafuzu kibabe
Tulia mremboMkuu, sikuoni hapa kwenye foleni ya SUPU MAALUM ya kusherehekea kufuzu ΒΌ fainali ya CCL!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Namba nne imebuma
Ingekuwa vizuri mkazingatia zaidi na kupongeza vile nilivyokuwa sahihi kuliko moja ambayo sikupatia. Jitahidi kuwa na mawazo chanya.Hapa 4 ulipuyanga, uliamua kuwafurahisha mashabiki maandazi wa yanga. π€£π€£
Maajabu mwenye point 9 atabaki Nazo hadi mwisho na ataishia hatua ya makundi
Yanga atafuzu kibabe
Yaani umewajaza waone kabisa nao wanaanza kuwa na mafanikio kama Simba. Kwa hiyo walivyoona Simba robo fainali wakajua nao imoo.?Ingekuwa vizuri mkazingatia zaidi na kupongeza vile nilivyokuwa sahihi kuliko moja ambayo sikupatia. Jitahidi kuwa na mawazo chanya.
MmmmhMaajabu mwenye point 9 atabaki Nazo hadi mwisho na ataishia hatua ya makundi
Yanga atafuzu kibabe
Uzi huu maisha yake yameishia weekend hii.Leo sitawananga ndugu zangu wa uto ila nakuja na mada fikirishi ila siyo serious kihiiivyo kwa hiyo wale ambao tunarushiana maneno kila siku embu leo nipumzisheni.
Msimu huu kuna mambo kadhaa yanafanana kati ya Simba na Yanga katika mechi za kimataifa:
1. Simba na Yanga zote zilicheza ugenini ndani ya nchi moja ya Algeria ndani ya weekend moja pale Simba ilipoenda kucheza na Constantine na Yanga ikaenda kucheza na MC Algier. Sina uhakika kama hili limewahi kutokea.
2. Weekend hii ya jana Simba na Yanga zimecheza na timu mbili Sfaxien na TP Mazembe ambazo zinavaa jezi zenye mfanano.
View attachment 3194307
View attachment 3194308
3. Simba na Yanga zote zitacheza mechi zao za mwisho za makundi wakiwa nyumbani na hizi zinaweza kuwa mechi za maamuzi, kama siyo za kujaribu kuongoza kundi basi kufuzu.
4. Mwanzoni mwa msimu huu nilitabiri Simba na Yanga zote kucheza fainali za CAF msimu huu. Je hilo linaweza kutokea? Hilo likitokea linaweza kuibua ajabu lingine ambalo sidhani kama limewahi kutokea katika mashindano ya CAF kwa fainali ya mashindano yote mawili ya CAFCL na CAFCC kukutanisha timu za mataifa mawili tu Tanzania na Misri.
Yanga ata fuzu kibabe πππMaajabu mwenye point 9 atabaki Nazo hadi mwisho na ataishia hatua ya makundi
Yanga atafuzu kibabe
Hakuna uzi unaoishi milele.Uzi huu maisha yake yameishia weekend hii.