mzeefursa
Member
- Sep 5, 2016
- 9
- 4
Tanzania ni moja ya nchi iliyobarikiwa na vivutio vingi sana vya utalii hapa duniani.
Kwa utafiti uliofanywa kuna vivutio vingi sana hapa Tanzania lakini bado hatupata mwanya wa kujitangaza ipasavyo.
Tanzania inatakiwa kujitangaza kwa nguvu zote katika utalii wake, kwani wageni wengi bado hawaijui Tanzania, ukilinganisha na baadhi ya nchi hapa Afrika mashariki...
Hii ni tovuti inayoonesha baadhi ya vivutio hapa Tanzania>>>http://bit.ly/29TNtwg
>>>http://bit.ly/29TNtwg
Vivutio vya Tanzania...>>>http://bit.ly/29TNtwg
Ushauri kwa serikali:Tuongeze nguvu kujitangaza kwa kutumia technolojia na njia za kisasa ili kufikia kirahisi watu wengi duniani.
ahsante
Kwa utafiti uliofanywa kuna vivutio vingi sana hapa Tanzania lakini bado hatupata mwanya wa kujitangaza ipasavyo.
Tanzania inatakiwa kujitangaza kwa nguvu zote katika utalii wake, kwani wageni wengi bado hawaijui Tanzania, ukilinganisha na baadhi ya nchi hapa Afrika mashariki...
Hii ni tovuti inayoonesha baadhi ya vivutio hapa Tanzania>>>http://bit.ly/29TNtwg
>>>http://bit.ly/29TNtwg
Vivutio vya Tanzania...>>>http://bit.ly/29TNtwg
Ushauri kwa serikali:Tuongeze nguvu kujitangaza kwa kutumia technolojia na njia za kisasa ili kufikia kirahisi watu wengi duniani.
ahsante