Lyaka Mlima Jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2020
- 361
- 521
Ni Tanzania pekee ambayo watu wake ni wavivu wa kufikiri na kuwaza, nchi ambayo watu wake wanachagua kiongozi kwa sababu wamehongwa kilo moja ya chumvi halafu wamiwa hawana uhakika wa kupata hela ya mboga na ugali.
Nchi ambayo watu wake wanapenda sana uongo kuliko ukweli.
Ni nchi ambayo watu wake wanapenda light agendas hata kwenye mambo ya msingi, wako tayari kumchagua kiongozi kwa jinsia yake hata kama ni dhaifu, utasikia huyu ni mwanamme mwenzetu au mwanammke mwenzetu mbali na kwamba hawana qualities.
Tanzania ndiyo nchi ambayo watu wake na wepesi wa kusahau.
Ajenda imeshaletwa ni zamu ya mwanamke 2025 watu hawataki kuuliza mwanamke gani?
Mwenye sifa gani?
Kinachosemwa ni MWANAMKE TU.
kuna kitu hakiko sawa.
Nchi ambayo watu wake wanapenda sana uongo kuliko ukweli.
Ni nchi ambayo watu wake wanapenda light agendas hata kwenye mambo ya msingi, wako tayari kumchagua kiongozi kwa jinsia yake hata kama ni dhaifu, utasikia huyu ni mwanamme mwenzetu au mwanammke mwenzetu mbali na kwamba hawana qualities.
Tanzania ndiyo nchi ambayo watu wake na wepesi wa kusahau.
Ajenda imeshaletwa ni zamu ya mwanamke 2025 watu hawataki kuuliza mwanamke gani?
Mwenye sifa gani?
Kinachosemwa ni MWANAMKE TU.
kuna kitu hakiko sawa.