BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Zanzibar ina timu za mpira wa miguu zinazoshiriki mashindano ya kimataifa ya Shirikisho la Mpira Afrika(CAF),yaani Shirikisho na Klabu Bingwa.
Pamoja na kuwa na uwanja wa Amani ambao umetumia gharama kubwa kuukarabati,timu za JKU na Uhamiaji zinacheza mechi zao za nyumbani ugenini.
Soma Pia:
Je hawaoni kiuchumi pia hili haliko sawa.
Pamoja na kuwa na uwanja wa Amani ambao umetumia gharama kubwa kuukarabati,timu za JKU na Uhamiaji zinacheza mechi zao za nyumbani ugenini.
Soma Pia:
- Upangaji wa matokeo na rushwa itaangamiza soka Zanzibar Kimataifa
- Je, hiki kilichofanywa na Klabu ya Pyramids ya Misri dhidi ya Klabu ya JKU ya Zanzibar siyo Dharau kwa Wazanzibari na Watanzania kwa Ujumla?
- Kocha wa Uhamiaji afichua yaliyojiicha kwenda kucheza mechi zote Libya
Je hawaoni kiuchumi pia hili haliko sawa.