Hoteli zingepata pesa.
huko wanapata zaidi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoteli zingepata pesa.
Sasa hoteli zikipata pesa JKU anafaidika vipi? Kule alipokubali offer kafaidika maana hajatumia hata mia yake safari nzimaHoteli zingepata pesa.
Kwanini munateseka na mambo yasiyokuhusuni?
Wivu wa kike.
Zina hali mbaya kiuchumi sawa. Ila kuna jambo haliko sawa. Kwanini mechi ya kwanza wasicheze nyumbani wakati nauli ya kwenda Misri na kupiga kambi huko wanayo? Au kuna biashara nje ya football?
Uwanja wa amani upo, nauli ya kwenda Misri ipo na fedha ya kughalamia kambi Misri ipo. Shida iko wapi kuchezea kule mechi zote?
Kwahiyo azam complex ni nyasi nini zile?Uwanja nyasi bandia hauna sifa wa kuchezewa
Uwanja wa kufanyia gwaride la mapinduzi.Mkuu huo uwanja wa Amani una faida gani ikiwa hata washabiki hauna? Zanzibar hata viwanja huwa vinakuwa vitupu. huko Misri mechi yao ya Home uwanja utajaa na watapa mgao mzuri tu wa hela.
Anazipiga 5Hata yanga Huwa Huwa inahonga timu ndogondogo.