mmmh kumbe kuna picha...hazitishi lakini...!!shem naona aibu ujue...sijui niweke picha!!
Kwa jina jingine unakulikana kama msonto....
Weka shemeji yangu ili nielewe..tunajifunza hapashem naona aibu ujue...sijui niweke picha!!
Picha tukione tafadhalini kinywaji kipya Tanzania.
Basi sawa charminglady...matatizo ya kutopenda masomo ya science
So huo mfupa ndo unaitwa uboho?
hapa mnadiskass nn?
Weka shemeji yangu ili nielewe..tunajifunza hapa
hapa mnadiskass nn?
UBOHO IS the flexible tissue found in the
interior of bones. In humans, bone
marrow in large bones produces
new blood cells.
'UBOHO' ndo nini?
...lakini nini tena?My daughter charminglady kashaweka picha...hii ya kwangu nayo inafanana kama hiyo lakini...