Much thanks charmingladyMy dear.... huo ni mfupa na kile.kilichomo.ndani ndio UBOHO...
hapa mnadiskass nn?
...lakini nini tena?
Usijal mwaya shaiona
Acha hizo bahna...em usiseme uboho,khah!lakini picha ya kwangu ya uboho ni kubwaaaa
Acha hizo bahna...em usiseme uboho,khah!
Hichi Kiswahili hichi..
Itupie nione
Mh nayo kweli..poa bdaeShem hivi ujue tunachakua thread ya watu...hebu tukimbie huku
My dear.... huo ni mfupa na kile.kilichomo.ndani ndio UBOHO...