We ni ngeke kweli,wasomi wa udsm ndio walioliingiza taifa kwenye umaskini,wewe ndio umechaguliwa chuo mwaka huu sie tulikuwepo hapo tangia 2003 tena kozi za maana sio uliyochaguliwa wewe hyo ya kulamba stempu!! Mafisadi wote wamesoma udsm kuanzia wale wa epa,richmond,kagoda,sakata la uda,chenji ya rada,mtakula nyasi ndege inunuliwe,kama vipi piga mbizi,mkaa hapa,jei kei wote hao product za udsm
sijafikiria na hata watoto wangu hawatakuja soma kwa chuo kama hicho weye
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
mwakyembe kabla hajaingiwa na tamaa ya kuwa mwanasiasa alikuwa lecturer wapi vile?
interview kwani walitangaza kazi? Pale huwa wanaenda watu toka sitimbi ambao jiji wamezoea kuliona kwa tv tu
You must be kidding.Siamini kama akili yako ndio imeishia hapo Brother. Hakuna mtu mwema hata mmoja aliyesoma UDSM? Watu kama Professa Chachage, Issa Shivji,Haroub Othman, Chris Maina Peter, Joseph Sinde warioba, Jenerali Ulimwengu, Lwaitama na wengine wazuri tu ni product ya Udsm. Kumaliza utata hebu tuambie Chuo kipi ni bora ili wenye data tukwambie nani walisoma huko? Brother umeonyesha upeo mdog sana wa kufikiri katika hili. Unatarajia mtu aliyezaliwa fisadi akabadilike akiwa Udsm? Labda kosa la Udsm ni kuwa Chuo cha kwanza na pekee hapa nchini kwa miaka karibu 40 iliyopita na hivyo kulazimisha kila mtu asome hapo na wale wenye uwezo mdogo kama wewe kukosa nafasi hapo kingxvisijafikiria na hata watoto wangu hawatakuja soma kwa chuo kama hicho weye
Haki ya punda hicho Chuo ulichosoma hasara tupu. Au umesoma University of Khartoum? Kwanza umepeleka vyeti vyako TCU wewe?product za ud matatizo lazima angalia tundu lissu.mambo anayoyafanya jimbon kwake.mpaka harakati za maendeleo zinakwama kisa sifa zake.haya huyo mdee mpaka sasa hata kuolewa bado,huyu mnyika mzee wa matamko ntamzungumzia baadaye
WEWE ULIFELI FORM SIX, HUNA SIFA ZA KUINGIA UDSM. UDSM IS THE BRAIN SOURCE OF EAST AFRICA NA DUNIA, ULIZA WALTER RODNEY ALIKUWA WAPI, KINA marehemu prof. CHACHAGE, vichwa kama vya LEARNED PROFESSOR Luoga utampata wapi kama si UDSM? NENDA NA HICHO KICHETI CHAKO CHA THE ZOOM COLLEGE HATA UGANDA TU WATAKUPA MI TEST kibao KWA KUTOAMINI BRAIN YAKO! nGONJA NIKUPE STORY KIDOGO MAANA NAJUA HUJUI NA UNAITAJI KUJUA, MHE. Warioba aliwahi kuitwa Docta akiwa kwenye UJudge wake huko nje, akawaambia ooh no I DON'T HAVE EVEN A MASTERS DEGREE, ALL I HAVE is A SINGLE DEGREE FROM the UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM. HUSIPO TAMANI KUSOMEA UDSM WEWE NI ..................INSANE! ...............[/QUOTE]
kama kwel una degree afu una mawazo mchoko kias hiki...kwel unantia wasi wasi!! sikutarajia mtu kama wewe kuongea maneno MACHAFU KAMA HAYA..
-inakuaje unadharau vyuo vingine(kwenye blue)?? nadhan wewe kama msomi umeonyesha udhaifu wako tena mbaya zaid unajisifia kwa degree!!!
-embu cheki hapo kwenye pupple..kama nna div 1.3 na nnataka kuwa mwanakilimo au achitect utasema nikasome udsm??
hili si kosa lako ni umekurupuka kujibu na umekua too emotional kitu ambacho msomi hutakiwi kuwa nacho!!!
BUSARA NA UKUBWA NI VITU VIWILI TOFAUTI..FIKIRI KABLA YA KUTENDA WE NI MSOMI!!
You must be kidding.Siamini kama akili yako ndio imeishia hapo Brother. Hakuna mtu mwema hata mmoja aliyesoma UDSM? Watu kama Professa Chachage, Issa Shivji,Haroub Othman, Chris Maina Peter, Joseph Sinde warioba, Jenerali Ulimwengu, Lwaitama na wengine wazuri tu ni product ya Udsm. Kumaliza utata hebu tuambie Chuo kipi ni bora ili wenye data tukwambie nani walisoma huko? Brother umeonyesha upeo mdog sana wa kufikiri katika hili. Unatarajia mtu aliyezaliwa fisadi akabadilike akiwa Udsm? Labda kosa la Udsm ni kuwa Chuo cha kwanza na pekee hapa nchini kwa miaka karibu 40 iliyopita na hivyo kulazimisha kila mtu asome hapo na wale wenye uwezo mdogo kama wewe kukosa nafasi hapo kingxvi
umeona hapo kwenye red...sasa kama nna div 1.3 na nataka kuwa mwana kilimo au architect utasema nikasome ud?? mtu kusoma ud si kwamba ana uwezo na mtu kutosoma ud si kwamba hana uwezo!!! naiman hapo(red) hata wewe umeonyesha uwezo mdogo sana katika kufikiri na kuchambua mada!! na utanishangaza sana kama una hata diploma akat uwezo wako still uko down..fikiri kaka tunataka mawazo yakinifu hasa kwa wasom kama wewe na wengineo na sio ushabiki wa kijinga...
Sasa Architect na kilimo si zinatolewa SUA na ARU ambazo mpaka juzi zilikuwa zehemu ya UDSM. Ukisema unanishangaa kama hata nina Diploma na mimi nakushangaa wewe kama hata una Form Six tu hata ya Division 4. Kilichonifanya nifikie kwenye conclusion hiyo ni mfululizo wa comments za Mtoa mada...Hivi na wewe unaamini kwamba kazi ya UDSMni kutoa mafisadi tu basi? Kama ndivyo basi nchi hii tuna safari ndefu sana ya kujikomboa. Kama sina diploma inakusaidia nini wewe? Kama ninayo pia inakuongezea nini?umeona hapo kwenye red...sasa kama nna div 1.3 na nataka kuwa mwana kilimo au architect utasema nikasome ud?? mtu kusoma ud si kwamba ana uwezo na mtu kutosoma ud si kwamba hana uwezo!!! naiman hapo(red) hata wewe umeonyesha uwezo mdogo sana katika kufikiri na kuchambua mada!! na utanishangaza sana kama una hata diploma akat uwezo wako still uko down..fikiri kaka tunataka mawazo yakinifu hasa kwa wasom kama wewe na wengineo na sio ushabiki wa kijinga...
Natumaini maneno yako makali kama moto yamemchoma vilivyo !!
<<< Ze duduz >>>