DUUH! kweli mko wengi, ila hapa nadhan si kuwa mtu alisomea sehemu fulan ndo asifie, ukweli uta baki pale pale kuwa, UDSM is the BEST! Labda tu siasa kwa sasa ndo inaiharibu, likitatuliwa hilo, UDSM ndo penyewe!
Nimeamini maneno ya mleta thread baada ya kuona post yako! kweli UDSM hamna kitu kama graduates wenyewe ndio kama wewe ..?? ATI NI BRAIN SOURCE YA DUNIA NZIMA! LOL
DUUH! kweli mko wengi, ila hapa nadhan si kuwa mtu alisomea sehemu fulan ndo asifie, ukweli uta baki pale pale kuwa, UDSM is the BEST! Labda tu siasa kwa sasa ndo inaiharibu, likitatuliwa hilo, UDSM ndo penyewe!
udsm wazee wa kuzurura mlimani city kwenda kununua pipi na karanga