maajabu ya udsm

maajabu ya udsm

kingxvi

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
879
Reaction score
151
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm
 
So what?najua uliomba na ukapgwa chini!
 
wit evidence pliiz...

huwezi kumlinganisha mtu wa miaka 50 na wa miaka 5 (incompatible)
 
umeangalia upande mmoja, wakinamnyika ni product yawapi vile?
 
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm

majaji wasiokuwa na sifa hata kuandika hukumu wametokea hapo!
 
umeangalia upande mmoja, wakinamnyika ni product yawapi vile?

mnyika mzee wa matamko yasiyo na tija,kijana anayetafuta sifa wakati jimboni kwake mambo hovyo nayeye pia amesoma pale
 
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm

na wewe ni product ya UDSM pia
 
ndio chuo kilicholifikisha taifa hapa lilipo.mafisadi wote ni product ya udsm.wahujumu uchumi ni product ya udsm hata maprofessor wenye tamaa ya uongozi wengi ni wa udsm

so..unawashauri waliochaguliwa wasiende nin....:redface:!?hahaha
 
Back
Top Bottom