Maajabu ya ujinga kwa baadhi ya watumiaji wa mitandao

Maajabu ya ujinga kwa baadhi ya watumiaji wa mitandao

Angyelile99

Member
Joined
Oct 9, 2023
Posts
89
Reaction score
164
Jambo la kwanza: ni Tanzania pakee. utakuta mtu kwenye jina la profile ya akaunti yake ya mitandao ya kijamii. anaweka na neno PhD ama Professor ili tu kujitambulisha kwa watu kua ana taaluma ya namna hiyo. Ila tukirudi kwenye ufanisi wa kiutendaji kwenye nafasi aliyopo ni ziro kabisa.

La pili ni watu kuto tumia majina yao na picha zao harisi kwenye mitandao ya kijamii. jambo linalo perekea ugumu haswa anapo kua anatafufwa na aidha ndugu ama jamaa walie potezana kwa muda.

Embu tubadilike basi tunapo hitaji kutambuliwa na watu kwa kupitia majina yatumikayo mitandaoni
 
Ninajiita managing director..... I'm dreaming to

Wala sina ujinga wa kukopi wala kujiita majina ya wasanii wa mambele huko !
 
Jambo la kwanza: ni Tanzania pakee. utakuta mtu kwenye jina la profile ya akaunti yake ya mitandao ya kijamii. anaweka na neno PhD ama Professor ili tu kujitambulisha kwa watu kua ana taaluma ya namna hiyo. Ila tukirudi kwenye ufanisi wa kiutendaji kwenye nafasi aliyopo ni ziro kabisa.

La pili ni watu kuto tumia majina yao na picha zao harisi kwenye mitandao ya kijamii. jambo linalo perekea ugumu haswa anapo kua anatafufwa na aidha ndugu ama jamaa walie potezana kwa muda.

Embu tubadilike basi tunapo hitaji kutambuliwa na watu kwa kupitia majina yatumikayo mitandaoni
Mkuu hebu jifunze kuandika Vizuri basi sehemu ya L unaweka R,na bado unaingilia privacy za watu wenye PHD zao,hapo juu ni Pelekea siyo Perekea ni la,le,li,lo,lu. Pelekea tumeelewana.
 
Jambo la kwanza: ni Tanzania pakee. utakuta mtu kwenye jina la profile ya akaunti yake ya mitandao ya kijamii. anaweka na neno PhD ama Professor ili tu kujitambulisha kwa watu kua ana taaluma ya namna hiyo. Ila tukirudi kwenye ufanisi wa kiutendaji kwenye nafasi aliyopo ni ziro kabisa.

La pili ni watu kuto tumia majina yao na picha zao harisi kwenye mitandao ya kijamii. jambo linalo perekea ugumu haswa anapo kua anatafufwa na aidha ndugu ama jamaa walie potezana kwa muda.

Embu tubadilike basi tunapo hitaji kutambuliwa na watu kwa kupitia majina yatumikayo mitandaoni
Anza mwnyewe uonyeshe mfano mwanangu. Ni kama unajinaga bila kujua au kujitoa ufahamu tu.
 
Jambo la kwanza: ni Tanzania pakee. utakuta mtu kwenye jina la profile ya akaunti yake ya mitandao ya kijamii. anaweka na neno PhD ama Professor ili tu kujitambulisha kwa watu kua ana taaluma ya namna hiyo. Ila tukirudi kwenye ufanisi wa kiutendaji kwenye nafasi aliyopo ni ziro kabisa.
Ongeza Eng.
 
Back
Top Bottom