Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
...tatizo, utavyowashangaa nao wanazidi kukushangaa na kukushangaza. Lilobakia shangaa kimya kimya tu.
Mbu una vituko balaa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...tatizo, utavyowashangaa nao wanazidi kukushangaa na kukushangaza. Lilobakia shangaa kimya kimya tu.
mkuu nestory
wengine sio wa kuwapa kila kitu'nakumbuka nilikuwa na gfriend wangu alikuwa na mazoe ya kunifundisha yaani mnakaa kuongelea mapenzi...kumbe anayapata kwa wenzake...mmmhh siku ya siku akuongelea alicofanya unajua alichotaka kufanya....wakati ukifanya mapenzi nikasikia mikono inapapaswa mara inakaribia kushuka kuzimu mmmh;akili ikaakaa sawa nikauliza kulikoni anasema tulia mpenzi mmh hamad nakujasikia vidole vinataka kupitishwa kwenye mto canal we na mchezo uliisha hapo hapo siku d tena...na kukimbia kabisa...anyway si wote unawapa vyote vingine vya kuchuja
because the girls adapts the macho men style and use it to the serengeti boyz.macho men are always more attractive to women lol..thats how it goes!