Maajabu ya wanawake kupenda wanaume weusi huku wakitaka kupata watoto weupe!

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Haya ni maajabu ya wanawake. Utasikia napenda mwanaume mrefu mweusi lakini cha ajabu wanapenda kuzaa vitoto vyeupe pee.
 
Hawajiamini hao wanahisi wanaume weupe wanapendwa na wengi so yeye akijicheki anaona kabisa nitapokonywa kuepuka ile wasiwasi wa kupokonywa anaona bora atafute Mniga wake ili apate aman ya moyo. Ila katika ukweli uliojificha wanawake wanapenda sana wanaume weupe kama sisi wanaume tunavopenda wanawake weupe.
Pia kuna hii sababu ya pili ya kufuata mkumbo kwa kua wengi wanaongea hivi basi na mwengine anaiga bila kujua sababu ni ipi.

Kuelewa akili ya mwanamke inakuhitaji na ww uwe na akili haswa, Sio kila anachoongea mwanamke basi kamaanisha.
 
Hawa viumbe walishachanganyikiwa mazima acha tuishi nao hivyo hivyo tu hatuna jinsi.
 
Hakuna,Wala si sababu....mwanaume black ni black tu....siyo wanawake Wala mashoga tunadata na ma black mkuu.....Ile nyama Yao ngumu afu ndefu ni tamu hata unapoisuck😋
 
Hakuna,Wala si sababu....mwanaume black ni black tu....siyo wanawake Wala mashoga tunadata na ma black mkuu.....Ile nyama Yao ngumu afu ndefu ni tamu hata unapoisuck[emoji39]
Kua na ndefu au fupi hakuna uhusiano na rangi ya mtu, kuna weupe wanaweza kua na ndefu pia kuna weusi wanaweza kua na fupi. Hayo ni maumbile tu.
 
Unaambiwa utumie akili yako kuishi nae wewe unatumia yake.
 
Mkuu unajisumbua bure hao watu hawajui wanachotaka!..inshort hawaeleweki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…