Maajabu ya Watanzania

Maajabu ya Watanzania

Mtoto Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2014
Posts
300
Reaction score
173
Ni kweli ni maajabu ya baadhi ya watanzania wanalalamika maisha magumu Tanzania maisha yamebana!wakati mtu huyo huyo hajawahi kufika Mwanza,Shinyanga,Tabora,Singida,İringa,Arusha,Kilimanjaro,mbeya etc,umetoka tu Lindi to Dar unasema Tanzania hakuna ishu,pengine umezaliwa Dar hata Ukonga haupajui,Tanzania ni nchi pekee iliyobarikiwa na kila aina ya fursa,usihukumu Tanzania wakati hauijui!
 
Back
Top Bottom