Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
- Thread starter
- #41
Hiyo umesema weweKwahiyo huyo mzungu ndio akakwambia haya ni maajabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo umesema weweKwahiyo huyo mzungu ndio akakwambia haya ni maajabu?
Kwa hiyo lengo la hayo maajabu yako ni kutu undermine Wasambaa na hivyo kutengeneza mazingira ya kutaka kujimwambafai na huo Upare/Umbugu wenu siyo!!Maajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo mfano mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuchafu, dis-organized vumbi kila sehemu atastaajabu sana
Haya kwangu ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia Wilaya ya Lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa ila ukienda lushoto utashangaa kuna makabila matatu wanaishi vizuri tu nayo ni wapare na wambugu
Wilaya ya Lushoto kuna wapare na wambugu ambao wako baadhi yao hawajui hata kisambaa ila cha ajabu mbugu akiongea huwezi mtofautisha na mpare ni lugha moja ila wanajitambulisha kama makabila mawili tofauti
Ni rahisi sana mbugu kuongea kipare, ni ngumu kwa mpare kuongea kimbugu japo atakua anamsikia kwa tabu sababu lugha zao hazija-achana sana
ila kwa observation yangu wale wambugu na wapare ni kabila moja sijaona mantiki ya wao kuwa makabila mawili tofauti
Kwahiyo unashaurije, wapare wawe wambugu au wambugu wawe wapare?Kwangu mimi ni maajabu au ulitaka niandike stori za kufikirika aiendelei na nimefika mwisho
Hao wambugu ni kabila tofauti na wapare, asili yao ni Ethiopia, sema wanaongea kipare kwa sababu wameishi sana huko upareni katika harakati zao za kuhama hama baadaye ndiyo wakaenda Lushoto. Wenyewe wana lugha yao wanaita kimbugu cha ndani ndiyo lugha yao halisi ambayo haijachakachuliwa na kipare au kisambaaMaajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo mfano mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuchafu, dis-organized vumbi kila sehemu atastaajabu sana
Haya kwangu ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia Wilaya ya Lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa ila ukienda lushoto utashangaa kuna makabila matatu wanaishi vizuri tu nayo ni wapare na wambugu
Wilaya ya Lushoto kuna wapare na wambugu ambao wako baadhi yao hawajui hata kisambaa ila cha ajabu mbugu akiongea huwezi mtofautisha na mpare ni lugha moja ila wanajitambulisha kama makabila mawili tofauti
Ni rahisi sana mbugu kuongea kipare, ni ngumu kwa mpare kuongea kimbugu japo atakua anamsikia kwa tabu sababu lugha zao hazija-achana sana
ila kwa observation yangu wale wambugu na wapare ni kabila moja sijaona mantiki ya wao kuwa makabila mawili tofauti
Huku lushoto ndio wabishi no.2 tanzania baada ya wahaMaajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo mfano mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuchafu, dis-organized vumbi kila sehemu atastaajabu sana
Haya kwangu ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia Wilaya ya Lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa ila ukienda lushoto utashangaa kuna makabila matatu wanaishi vizuri tu nayo ni wapare na wambugu
Wilaya ya Lushoto kuna wapare na wambugu ambao wako baadhi yao hawajui hata kisambaa ila cha ajabu mbugu akiongea huwezi mtofautisha na mpare ni lugha moja ila wanajitambulisha kama makabila mawili tofauti
Ni rahisi sana mbugu kuongea kipare, ni ngumu kwa mpare kuongea kimbugu japo atakua anamsikia kwa tabu sababu lugha zao hazija-achana sana
ila kwa observation yangu wale wambugu na wapare ni kabila moja sijaona mantiki ya wao kuwa makabila mawili tofauti
Wana content?Huku lushoto ndio wabishi no.2 tanzania baada ya waha
Afadhali umejibu swali langu kwa mleta mada, kumbe waha bado ni mziki mnene kwa ubishi😂Huku lushoto ndio wabishi no.2 tanzania baada ya waha
Ni-kivip nime-undermine wasambaa misio mpare wala mbuguKwa hiyo lengo la hayo maajabu yako ni kutu undermine Wasambaa na hivyo kutengeneza mazingira ya kutaka kujimwambafai na huo Upare/Umbugu wenu siyo!!
Serikali ishushe bei ya mafuta aisee.Maajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo mfano mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuchafu, dis-organized vumbi kila sehemu atastaajabu sana
Haya kwangu ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia Wilaya ya Lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa ila ukienda lushoto utashangaa kuna makabila matatu wanaishi vizuri tu nayo ni wapare na wambugu
Wilaya ya Lushoto kuna wapare na wambugu ambao wako baadhi yao hawajui hata kisambaa ila cha ajabu mbugu akiongea huwezi mtofautisha na mpare ni lugha moja ila wanajitambulisha kama makabila mawili tofauti
Ni rahisi sana mbugu kuongea kipare, ni ngumu kwa mpare kuongea kimbugu japo atakua anamsikia kwa tabu sababu lugha zao hazija-achana sana
ila kwa observation yangu wale wambugu na wapare ni kabila moja sijaona mantiki ya wao kuwa makabila mawili tofauti
Na waifungie jamiiforumSerikali ishushe bei ya mafuta aisee.
Sonona inamaliza taifa
Hilo mmelifanya sana bila mafanikio, ndo maa a mnaongezeka wenye sononaNa waifungie jamiiforum
Umekosea kidogo sana. Mimi ni Mshewa. Mama yangu sasa ndiyo Msambaa mwenye asili ya Kilindi.
Alafu hata unijui yaan unamtuhumu mtu usiyemjua hii ni forum na nimetumia haki yangu na hakuna sehemu kwenye uzi nimeponda kabila lolote au kutumia lugha ya matusiHilo mmelifanya sana bila mafanikio, ndo maa a mnaongezeka wenye sonona
Mombo hadi soni na mpaka mjiniKule kuna mawe mawe mengi ukiwa unapandisha ile Barabara inayotoka Mombo sijui Rombo unapandisha kule juu ndio utaelewa