Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha itakua inatoka mkoa wa Mama jUnadhani bangi wanayovuta Yanga inatoka mkoa gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SENZO ALIWEKA REKODI SIMBA YA KUTOLEWA NA UD SONGO, try again, magori,barbra wamefanya kazi nzuri mara 100 yakeYanga walibugi sana wanajua eti senzo na yule mama j msukule ndo walifikisha simba robo fainali club bingwa africa ndo wamewachukua kumbe hawajui simba kwa ujumla inapambana km taasisi.Ni swala la mda tu wakija kujua hawajui ndo watawatimua jamaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha itakua inatoka mkoa wa Mama j
Kwa hiyo nyie Simba ndio mnajua habari ya yanga kuliko wao wenyewe ? Tatizo lenu nyie mnakariri Sana yaliyopita acheni wivu na dharau mwaka huu hapotoshi kila timu imesajili vzr kweli time will tell .SENZO ALIWEKA REKODI SIMBA YA KUTOLEWA NA UD SONGO, try again, magori,barbra wamefanya kazi nzuri mara 100 yake
Unadhani bangi wanayovuta Yanga inatoka mkoa gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mshaunganisha team huko kigamboni? au tuwaletee super glue?Kwa hiyo nyie Simba ndio mnajua habari ya yanga kuliko wao wenyewe ? Tatizo lenu nyie mnakariri Sana yaliyopita acheni wivu na dharau mwaka huu hapotoshi kila timu imesajili vzr kweli time will tell .
unahumia ukiwa wapiUnaweka kambi Morocco bila mipango, unarudi nyumbani unacheza na Freinds Rangers kujifua na mechi ya ligi ya mabingwa.
Hivi Nani kawaroga Utopolo?
Anayewauzia hizi bangi viongozi wa Yanga, Mungu anawaona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taratibu mkuu unawachoma roho ..wenyewe na wachambuzi wao TAKATAKA walioko kwenye payroll ya msomali wanakuambia Senzi ni bonge la CEO, bonge la CEO lililoshindwa hata kufanya simple logistic tu ya kujua kwamba marrakech kuna outspread ya kutisha ya COvid 19 kisa kisa maghorofa unapeleka team huko
Wakafika wakaanza kutumia official social media zao ku wa mock simba walioenda Rabat(bush) wakisema hatuwaoni huku mjini, kipo wapi sasa?????
simba waliobaki wanaenda kambi ya utulivu karatu arusha ,camp la kisasa wakimaliza kina Manula majukumu ya stars team inaenda camp nje probably Egypt