kiula neema
Member
- Mar 22, 2021
- 72
- 105
Mbumbu fc .mikia fc .Wakiwa wengi makolokolo akiwa wawili Makolo na akiwa moja kolo kwa ujumla kujua kwingi kila kitu Cha yanga wanajua mnakaa Sana mchukueni Nugaz anakuja.mshaunganisha team huko kigamboni? au tuwaletee super glue?
wenyewe na wachambuzi wao TAKATAKA walioko kwenye payroll ya msomali wanakuambia Senzi ni bonge la CEO, bonge la CEO lililoshindwa hata kufanya simple logistic tu ya kujua kwamba marrakech kuna outspread ya kutisha ya COvid 19 kisa kisa maghorofa unapeleka team huko
Wakafika wakaanza kutumia official social media zao ku wa mock simba walioenda Rabat(bush) wakisema hatuwaoni huku mjini, kipo wapi sasa?????
simba waliobaki wanaenda kambi ya utulivu karatu arusha ,camp la kisasa wakimaliza kina Manula majukumu ya stars team inaenda camp nje probably Egypt
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ten yearsMbumbu fc .mikia fc .Wakiwa wengi makolokolo akiwa wawili Makolo na akiwa moja kolo kwa ujumla kujua kwingi kila kitu Cha yanga wanajua mnakaa Sana mchukueni Nugaz anakuja.
Zinauzwa na vunja Bei professional wa makolokolo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naomba kujua jezi za River utd zinauzwa wapi?[emoji1787][emoji1787]
Hao wacheza mziki ndo mmeona mmesajiriiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]subirini wanaigeria waje wapige kwenye mshono ndo tutaheshimiana mkuuKwa hiyo nyie Simba ndio mnajua habari ya yanga kuliko wao wenyewe ? Tatizo lenu nyie mnakariri Sana yaliyopita acheni wivu na dharau mwaka huu hapotoshi kila timu imesajili vzr kweli time will tell .
Kwani wanataka kuunga pilau [emoji1787][emoji1787][emoji1787]maaana najua si mda mrefu wataanza lawama kwa tff kwa vichapo watakavo chukua.Embu waacheni,wenzenu wanatafuta muunganiko nyinyi mnawabughudhi.
Endeleni kukariri hao mnawaona Ni wanamziki ndio waliowapiga hamsa hamsa mnajuaga kujitoa ufahamu nyie hao wacongo mnao wadharau kwao Wana asili ya mpira mkubwa kuliko hata sisi wabongo kichwa Cha mwendawazimu .Time Will tell.Hao wacheza mziki ndo mmeona mmesajiriiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]subirini wanaigeria waje wapige kwenye mshono ndo tutaheshimiana mkuu
wamesajili wazee wengi sasa wanatafuta namna ya kuwafundisha wajitahidi ivyoivyo. ili mradi waonekane wanacheza mwakani wasajili wengine wapya.Kwani wanataka kuunga pilau [emoji1787][emoji1787][emoji1787]maaana najua si mda mrefu wataanza lawama kwa tff kwa vichapo watakavo chukua.
Na ndio hao hao tuliowapiga nje ndani last season ..Endeleni kukariri hao mnawaona Ni wanamziki ndio waliowapiga hamsa hamsa mnajuaga kujitoa ufahamu nyie hao wacongo mnao wadharau kwao Wana asili ya mpira mkubwa kuliko hata sisi wabongo kichwa Cha mwendawazimu .Time Will tell.
Mkuu na ww umekalili kwamba mambo yatajirudia Simba imejipanga zaidi hata ww kimoyo moyo unajua hilo.Kipimo chenu ni wanaigeria na sisi bado tutakuja kuwakandamiza tarehe 25Endeleni kukariri hao mnawaona Ni wanamziki ndio waliowapiga hamsa hamsa mnajuaga kujitoa ufahamu nyie hao wacongo mnao wadharau kwao Wana asili ya mpira mkubwa kuliko hata sisi wabongo kichwa Cha mwendawazimu .Time Will tell.
Tutawakanda sisi sio kuwakandamizaMkuu na ww umekalili kwamba mambo yatajirudia Simba imejipanga zaidi hata ww kimoyo moyo unajua hilo.Kipimo chenu ni wanaigeria na sisi bado tutakuja kuwakandamiza tarehe 25
Msikilize Mwijaku anachosema. Asa tukuamini wewe au tumuamini Mwijaku?Hao wacheza mziki ndo mmeona mmesajiriiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]subirini wanaigeria waje wapige kwenye mshono ndo tutaheshimiana mkuu
Hao machawa wafata upepo tu sisi wenye simba yetu wala hatuna paparaMsikilize Mwijaku anachosema. Asa tukuamini wewe au tumuamini Mwijaku?
Ndio maana wanaitwa UTOPOLO FCUnaweka kambi Morocco bila mipango, unarudi nyumbani unacheza na Freinds Rangers kujifua na mechi ya ligi ya mabingwa.
Hivi Nani kawaroga Utopolo?
Anayewauzia hizi bangi viongozi wa Yanga, Mungu anawaona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inakuhusu nini wewe Simba,wewe subiri kwenye mechi ya Ngao ya jamii kati ya Yanga na Simba tutamjua nani kajifua vizuri si mbali ni Tarehe 25/9 /2021.Ndiyo utakuwa mwisho wa makelele yenu watu kama wewe usiyejua mpiraUnaweka kambi Morocco bila mipango, unarudi nyumbani unacheza na Freinds Rangers kujifua na mechi ya ligi ya mabingwa.
Hivi Nani kawaroga Utopolo?
Anayewauzia hizi bangi viongozi wa Yanga, Mungu anawaona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukipata nitagNaomba kujua jezi za River utd zinauzwa wapi?[emoji1787][emoji1787]
MaajabulaUnaweka kambi Morocco bila mipango, unarudi nyumbani unacheza na Freinds Rangers kujifua na mechi ya ligi ya mabingwa.
Hivi Nani kawaroga Utopolo?
Anayewauzia hizi bangi viongozi wa Yanga, Mungu anawaona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]We unataka wacheze na timu kubwa ili wawaweke Tena?