Maajabu ya Zanzibar, hawalimi, hawafugi lakini wanakula wanashiba

Maajabu ya Zanzibar, hawalimi, hawafugi lakini wanakula wanashiba

Maisha ya Zanzibar ni magumu sana.wao wamezoea kula tende na ulojo ndiyo maana wako legelege na wanawake kuwa 43"flat screen.
 
Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje zanzibar.hata ule msemo wa kwenye bible kuwa asiyefanya kazi asile aje unguja atengue kauli yake.

Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000,mashanba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja au mbili,lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula,

Saa nne watu wanacheza bao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita baba zao kijiweni waende wakale msosi nyumbani
Ungekuwa makini hata kwenye hiyo elimu ya kidato cha 4, usingeanzisha uzi wa kipimbi namna hii

TANZANIA
GDP $75 billion
Population 70 million
$75billion/70 million = $1071.42 per capita

ZANZIBAR
GDP $3.75billion
Population 1.8million
$3.75billion/1.8million = $2083.33 per capita
 
Kila familia hasa zile zilizoko shamba wana maeneo yao na wanapata kila kitu,kuanzia ndizi,muhogo,ndimu machungwa embe fenesi shokishoki kilankitu, na bandari ipo sasa unashangaa nin ilihali kila kitu kinaingia.mvona dodoma hawalim na vitu sabasaba soko la wakulima havikos
 
Ungekuwa makini hata kwenye hiyo elimu ya kidato cha 4, usingeanzisha uzi wa kipimbi namna hii

TANZANIA
GDP $75 billion
Population 70 million
$75billion/70 million = $1071.42 per capita

ZANZIBAR
GDP $3.75billion
Population 1.8million
$3.75billion/1.8million = $2083.33 per capita
What do you mean by the word TANZANIA,zanzibar inclusive rigjht.
Forget about that .whith reference to your data u mean zanzibari have better life than Tanzania mainland ,stupid.
 
Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje Zanzibar. Hata ule msemo wa kwenye bible kuwa asiyefanya kazi asile aje Unguja atengue kauli yake.

Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000, mashanba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja au mbili lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula.

Saa nne watu wanacheza bao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita baba zao kijiweni waende wakale msosi nyumbani.

Hivi hayo mashamba yaliyopo wanalima mazao gani ya chakula?
 
Haya ebu nipeni matokeo ya shuke zao ya secondary.
 
What do you mean by the word TANZANIA,zanzibar inclusive rigjht.
Forget about that .whith reference to your data u mean zanzibari have better life than Tanzania mainland ,stupid.
Agreed , you are an imbecilic illiterate
Its will be an honor to call you an idiot
Go figured it yourself why GDP per capita sio suala la muungano
Buffoon!
 
Na ndio maana wakija bara hawataki
Mm nilifika Zbar nilishangaa sana.nilikua nikiamka mapema ili kuwahi shughuli ilonipeleka lkn saa moja asubuh watu bado wamelala mpaka ilinilazimu kuchukua tax spesho ili awe anakuja kunichukua mapema.Na kiukweli nilishangazwa na mambo mengi watu wale bado wako nyuma sana
 
Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje Zanzibar. Hata ule msemo wa kwenye bible kuwa asiyefanya kazi asile aje Unguja atengue kauli yake.

Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000, mashanba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja au mbili lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula.

Saa nne watu wanacheza bao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita baba zao kijiweni waende wakale msosi nyumbani.
Maajabu ya Bongo!
 
Mkuu huwezi kulinganisha umaskini wa Bara na Zanzibar..pamoja na umaskini Zanzibar wako mbele kulingana na sisi ..

Huduma za kijamii zinazopatikana Zanzibar ninangalau kuliko za Bara,

Mzunguko wa pesa kwa Zanzibar ni kubwa kuliko Bara

Hii inatokana na udogo wa Zanzibar kulinganisha na Bara..

Ninapongelea Bara naongelea vijijini huko ndani ndani.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

ukitoa Dar, hakuna sehemu inayoizidi Zanzibar kimzunguko wa fedha Tanzania Bara
 
Mkuu huwezi kulinganisha umaskini wa Bara na Zanzibar..pamoja na umaskini Zanzibar wako mbele kulingana na sisi ..

Huduma za kijamii zinazopatikana Zanzibar ninangalau kuliko za Bara,

Mzunguko wa pesa kwa Zanzibar ni kubwa kuliko Bara

Hii inatokana na udogo wa Zanzibar kulinganisha na Bara..

Ninapongelea Bara naongelea vijijini huko ndani ndani.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Vyakyla,mavazi,electrical appliance,magari,pikipiki wako juu
 
Back
Top Bottom