Maajabu ya Zanzibar, hawalimi, hawafugi lakini wanakula wanashiba

Maisha ya Zanzibar ni magumu sana.wao wamezoea kula tende na ulojo ndiyo maana wako legelege na wanawake kuwa 43"flat screen.
 
Ungekuwa makini hata kwenye hiyo elimu ya kidato cha 4, usingeanzisha uzi wa kipimbi namna hii

TANZANIA
GDP $75 billion
Population 70 million
$75billion/70 million = $1071.42 per capita

ZANZIBAR
GDP $3.75billion
Population 1.8million
$3.75billion/1.8million = $2083.33 per capita
 
Kila familia hasa zile zilizoko shamba wana maeneo yao na wanapata kila kitu,kuanzia ndizi,muhogo,ndimu machungwa embe fenesi shokishoki kilankitu, na bandari ipo sasa unashangaa nin ilihali kila kitu kinaingia.mvona dodoma hawalim na vitu sabasaba soko la wakulima havikos
 
What do you mean by the word TANZANIA,zanzibar inclusive rigjht.
Forget about that .whith reference to your data u mean zanzibari have better life than Tanzania mainland ,stupid.
 

Hivi hayo mashamba yaliyopo wanalima mazao gani ya chakula?
 
Haya ebu nipeni matokeo ya shuke zao ya secondary.
 
What do you mean by the word TANZANIA,zanzibar inclusive rigjht.
Forget about that .whith reference to your data u mean zanzibari have better life than Tanzania mainland ,stupid.
Agreed , you are an imbecilic illiterate
Its will be an honor to call you an idiot
Go figured it yourself why GDP per capita sio suala la muungano
Buffoon!
 
Na ndio maana wakija bara hawataki
Mm nilifika Zbar nilishangaa sana.nilikua nikiamka mapema ili kuwahi shughuli ilonipeleka lkn saa moja asubuh watu bado wamelala mpaka ilinilazimu kuchukua tax spesho ili awe anakuja kunichukua mapema.Na kiukweli nilishangazwa na mambo mengi watu wale bado wako nyuma sana
 
Maajabu ya Bongo!
 

ukitoa Dar, hakuna sehemu inayoizidi Zanzibar kimzunguko wa fedha Tanzania Bara
 
Vyakyla,mavazi,electrical appliance,magari,pikipiki wako juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…