Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Usijali wewe Kunya nitawatuma watu waje kuzoe....Nimecheka nusu kunya [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
~Cmb
..........utayaona ya Hassan[emoji4]Nimeamin kweli ukistaajabu ya mussa...................!!!!
Ujinga kiwango cha PhD hivi kinachowashtua ninini? Hamjawahi kuona watu wenye ndevu?
Wazungu washajua wakenya ni maboya wanataka muendelee kuwa abudu wao na kingereza chaoUtani pembeni, hivi haya majitu ni akina nani na wana nia gani maana ghafla tunaona wazungu wanakatiza kitaa huku wana mandevu na kuvalia kiajabu ajabu, wanasababisha taharuki inafaa wahojiwe.
We sema yesu atawadhwa kumbe ni shoga la makanisaniView attachment 440086baada ya ibada kuu, yesu atawadhwa miguu, hapa sasa tunawasubiri wale wazee ishirini na wanne...tubuni jamani hahaa
Wazungu washajua wakenya ni maboya wanataka muendelee kuwa abudu wao na kingereza chao
Akuna anaye shobokea mwarabu tz ndo mana tuliua askari wa gaddaf Uganda na kuwateka 800 hiviNa nyie Waarbu mnawaabudu na Kiswahili na dini yao pamoja na kwamba walibaka wazee wenu.
Akuna anaye shobokea mwarabu tz ndo mana tuliua askari wa gaddaf Uganda na kuwateka 800 hivi
Hivi muarabu na mzungu nani anaialibu dunia kwa uonevu waarabu waliousika kutusumbua waafrica walikuwa watu binafsi siyo serikali zao zilizo watuma Africa aikuwa koloni la serikali za kiarabu. Acha urofaKha.. kuanzia kwa jina 'Dar es Salaam' ambapo mumejazana nyote vyote vimekaa Kiarabu Arabu. Mila za desturi zote za kiarabu hadi hata kutumia vidole na maji kwenye kopo baada ya kunya vyote mumeiga kutoka kwa Waarabu.
'Yesu' ana ugoko wa mwendokasi. Hapo kweli shetani hana mamlaka.View attachment 440086baada ya ibada kuu, yesu atawadhwa miguu, hapa sasa tunawasubiri wale wazee ishirini na wanne...tubuni jamani hahaa
Nimeamin kweli ukistaajabu ya mussa...................!!!!
Weee jamaa imebid ad nicheke dah'Yesu' ana ugoko wa mwendokasi. Hapo kweli shetani hana mamlaka.
Kayole kwetuView attachment 439871musa aonekana maeneo ya tom mboya street.
View attachment 439872yesu naye aonekana mitaa ya downtown hukoo kayole.[emoji3]
Kazi ya askari wetu miaka hii....picha pichani/kamera,unachati waasi wakiwawahi cjui mtasemajeJaman eeeh, nchi hiii imebarikiwa dah, leo masihi ameonekana anakatiza jijini,wengi tunazidi kushangaa tu[emoji120] [emoji119] View attachment 658769